Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Nashukuru kwa kunipatia elimu maana elimu haina mwisho.
Yajue makosa yaliyoainishwa kupitia Sheria ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015
SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO, Sheria ya makosa ya mtandao imetungwa 2015, Sheria hii inahusu makosa yanayohusiana na mifumo ya kompyuta na teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA); na uchunguzi, ukusanyaji na matumizi ya ushahidi wa kielektroniki na unaohusiana na hayo. Vipengele muhimu na...
www.jamiiforums.com
Soma sehemu inayoonesha mamlaka ya polisi