Ni sahihi kwa kampuni ya simu kutoa mawasiliano binafsi ya simu kwa umma?

Ni sahihi kwa kampuni ya simu kutoa mawasiliano binafsi ya simu kwa umma?

Muulize Lema, walitoa kwake kama ushahidi kwa Jamhuri, muulize Membe/Nape/Makamba walivyo rekodiwa na kusambazwa.
Usishangae kwa Sabaya, jiulize hii tabia ilianza lini na kwanini tumefika huku
 
Ukinunua simcard yoyote huwa kuna kikaratasi cha maelezo, muhimu kuyasoma yale maelezo vizuri.

Vodacom ndio huwa wanaongoza kutoa mawasiliano kati yao na wateja wao kwa serikali, hili linasababishwa na urafiki uliopo kati ya Vodacom na serikali, hii mitandao mingine sijawahi kuona ikifanya hivyo.
 
Nimesikia jana kuwa kampuni moja ya simu imetoa mawasiliano ya Sabaya mahakamani.

Je hili linatoa taswira gani kwa wateja wake?

Binafsi siijui sheria hivyo nawaomba wenye uelewa tujulishane.
Under special circumstances za kisheria wanatoa mawasiliano ya mtu
- Ujambazi, madawa ya kulevya, money laundering, terrorism etc
 
inanikumbusha kisa cha Apple na Gaidi wa Alqaeda USA, laptop ilikuwa ina PIN basi CIA na FBI wakawaomba Apple waifungue hito laptop ili wanyonye taarifa zao, Apple waligoma ngoma ikaunguruma mpaka mahakamani Apple wakashinda basi ikabidi CIA na FBI watumie utundu wao kuifungua hiyo laptop japo walikuta video na picha za Porn tu....

Huku kwetu hivi vyombo TISS, Polisi, Bot nk sheria inawalinda wakitaka taarifa zako japo kuna procidure wanafuata then taarifa zinatoka kwenye mitandao ya simu na mabenki sio kiholela tu...
 
Under special circumstances za kisheria wanatoa mawasiliano ya mtu
- Ujambazi, madawa ya kulevya, money laundering, terrorism etc
Ubarikiwe sana kiongozi.
 
inanikumbusha kisa cha Apple na Gaidi wa Alqaeda USA, laptop ilikuwa ina PIN basi CIA na FBI wakawaomba Apple waifungue hito laptop ili wanyonye taarifa zao, Apple waligoma ngoma ikaunguruma mpaka mahakamani Apple wakashinda basi ikabidi CIA na FBI watumie utundu wao kuifungua hiyo laptop japo walikuta video na picha za Porn tu....

Huku kwetu hivi vyombo TISS, Polisi, Bot nk sheria inawalinda wakitaka taarifa zako japo kuna procidure wanafuata then taarifa zinatoka kwenye mitandao ya simu na mabenki sio kiholela tu...
Kwa wenzenu huko majuu naona ethics zinapewa kipau mbele sana.
 
Kwa wenzenu huko majuu naona ethics zinapewa kipau mbele sana.

wamejiwekea taratibu na kukubaliana kuziishi...mwisho wa siku kila mtu anapata haki yake lakini kabla hawajafika huko walianza kuuana sana ndipo walipofikia kuheshimiana..

Huku kuna stage tumeziruka zinatutafuna ndio maana hatuheshimiani..
 
wamejiwekea taratibu na kukubaliana kuziishi...mwisho wa siku kila mtu anapata haki yake lakini kabla hawajafika huko walianza kuuana sana ndipo walipofikia kuheshimiana..

Huku kuna stage tumeziruka zinatutafuna ndio maana hatuheshimiani..
Bila kuiondoa ccm hakuna tutakacho kiweza ila tuweze kusonga mbele
 
Ukinunua simcard yoyote huwa kuna kikaratasi cha maelezo, muhimu kuyasoma yale maelezo vizuri.

Vodacom ndio huwa wanaongoza kutoa mawasiliano kati yao na wateja wao kwa serikali, hili linasababishwa na urafiki uliopo kati ya Vodacom na serikali, hii mitandao mingine sijawahi kuona ikifanya hivyo.
Mkuuu Naomba unieleweshe je,vodacom wanatoa taarifa kutokana na urafiki binafsi kwa serikali au ni takwa la kisheria?

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
inanikumbusha kisa cha Apple na Gaidi wa Alqaeda USA, laptop ilikuwa ina PIN basi CIA na FBI wakawaomba Apple waifungue hito laptop ili wanyonye taarifa zao, Apple waligoma ngoma ikaunguruma mpaka mahakamani Apple wakashinda basi ikabidi CIA na FBI watumie utundu wao kuifungua hiyo laptop japo walikuta video na picha za Porn tu....

Huku kwetu hivi vyombo TISS, Polisi, Bot nk sheria inawalinda wakitaka taarifa zako japo kuna procidure wanafuata then taarifa zinatoka kwenye mitandao ya simu na mabenki sio kiholela tu...
Sio laptop mkuu ni simu mkuu

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Bila kuiondoa ccm hakuna tutakacho kiweza ila tuweze kusonga mbele

CCM haiwezi kutoka kirahisi lazima kazi ifanyike na watu wasucrifice kweli...
Nyuma ya CCM kuna mengi yamejificha na ukionyeshwa basi yapo yatakuogopesha..
CCM ni mali ya watu wengi wasioonekana hawa tunaowaona ni vibaraka tu na hata wengine hawajui wanamtumikia nani....
 
CCM haiwezi kutoka kirahisi lazima kazi ifanyike na watu wasucrifice kweli...
Nyuma ya CCM kuna mengi yamejificha na ukionyeshwa basi yapo yatakuogopesha..
CCM ni mali ya watu wengi wasioonekana hawa tunaowaona ni vibaraka tu na hata wengine hawajui wanamtumikia nani....
Nakushukuru sana mkuu.
Kumbe hata haya yanayoendelea ya mh Mbowe ni mojawapo ya njia wanazokutana nazo wanao hitaji kuiondoa ccm madarakani.
 
Nakushukuru sana mkuu.
Kumbe hata haya yanayoendelea ya mh Mbowe ni mojawapo ya njia wanazokutana nazo wanao hitaji kuiondoa ccm madarakani.

sitaki sana kuingia kwenye suala la Mbowe..

tambua tu kuitoa CCM sio kazi rahisi na sio kwa harakati hizi tunazofanya ndio tutaitoa CCM hapana tunahitaji nyakati ngumu sana sana ambazo itabidi wengine mkane mpaka imani zenu na muuvae utanzania haswa..
Kama kweli mmedhamiria kuitoa CCM basi mkubali kuogelea kwenye mawimbi mazito ya nyakati ngumu...kuna wakati wenye CCM huwatumia hata wapinga CCM ili kumtetemesha mwana CCM anayejaribu kupunguza au kukata maslahi yao, masikini sie bila kujua tunaicheza ngoma.....NGOJA NIISHIE HAPA...
 
Unayaona Leo hayo au?

Sheria zimewekwa kama utaratibu tu unavyotaka, Wanaosimamia sheria ni wale wenye Mamlaka

Katiba yetu imetoa mwanya kuna watu wapo juu ya sheria na huwezi kuwagusa

Hivi Mkurugenzi wa Voda au Tigo ana nguvu gani akitumiwa wale Jamaa, Najua unawafahamu

Maisha yako binafsi ni muhimu kuliko kukumbatia taarifa zinazohitajika na watu waliojuu ya katiba

Kwa usalama wa Taifa au nchi ukigoma kutoa taarifa kesho tunaweza tukakusindikiza kwa nyimbo za pala panda ikilia

Sheria zipo, Kuna muda lazima uangalie maisha yako

Huwezi Shindana na mtu ana Vifaru, Bunduki na Jeshi lote linamuheshimu

Mdomo na kiburi vimewagharimu watu maisha na Leo wameacha familia kisa tu kujifanya wanafuata sheria na katiba

Katiba ni karatasi tu, Wanaosimamia katiba wapo juu ya katiba

Muda wowote sheria hupindishwa au kunyooshwa kwa matakwa ya Mamlaka
Si swala kutoa tu taarifa, mitandao inawajibika kuzitunza hizo taarifa za wateja kwa miaka 5.
 
Nimesikia jana kuwa kampuni moja ya simu imetoa mawasiliano ya Sabaya mahakamani.

Je, hili linatoa taswira gani kwa wateja wake?

Binafsi siijui sheria hivyo nawaomba wenye uelewa tujulishane.

Wanalindwa na sheria...

Kampuni ya simu sio kuwa inatoa tu taarifa hizo hivi hivi...
 
Back
Top Bottom