Ni sahihi kwa mwanamke ambaye sio mchumba au mke wako kukaa kwako zaidi ya week mbili?

Hahh,kama nakuona ulivyokuwa unaomba moyoni kuwa si aondoke tu huyu mbona anazidi kukaa hapa geto...na hali hii watu hujisogeza tu ili kufanye life liwe jepesi, msichana huyo hajielewi kabisa ila na ww ulichelewa sana kuchukua maamuzi.
 
Kishakula mbususu hadi amechoka.....haya mambo haya
Hivi bidada Mbususu inachokwa?
Miaka 17 ya ndoa bado namuona wife kama mpya, haya mambo sijui kuchepuka au mechi za ugenini nayasikia kwa watu tu japokuwa kwa taratibu za Dini yangu bado zipo nafasi 3 za kujazwa
 
Mgaie kidogo mzabzab achangamshe damu muhuni analia vyote hivyo huna hata huruma jamani😀
yaani huyu Kelsea angejua jinsi mie navyompenda. hyo tall dark and handsome wake angekuwa kshambwaga sasa.
mtoto kaenda hewani hadi raha. alafu apige heels zake mtoke outing yaani ananipita urefu kidogo; my friedn that feeling of being dominated by a woman acha kabisa. alafu alivyokuwa mpole twiga wangu anatembea kwa madaha. Kelsea mrembo nikubalie jamani mie ninataka kukuwowa kabisa.
 
Mtoto haelewi kabisa
 
Mkulungwa eeh! Umezingua mwana kwani wiki zote tatu hukufikiria hizo risk zote?

Wiki3 obvious umechoka same match, same styles & same pus...y
Mkuu ameona kwamba bidada anamiwelea kauzibe ashindwe kuleta wengine akaamua isiwe shida kampiga ban.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…