Halafu anakuja na sababu za hovyooooo. Hiki kizazi cha JK ni taabu tubu tupu.Hujui ndugu wala rafiki zake,unaweza kuwajua ukitaka
Hujui anapoishi,hili nalo ni la kujua ukiamua
Anahitaji ndoa,hili nalo ni tatizo??
Kimsingi sababu zako sio za msingi...wewe sema ulimchoka tu dada wa watu baada ya kula mbususu week tatu mfululizo
Mchumba anakua kashaposwa na kutolewa mahaliHuko kukaa kwako si ndio uchumba wenyewe sasa au????
Hujaamua kuwajua ndugu zake,Wee sema tu unasafisha rungu,huna mpango nae.Habari zenu ndugu zangu.
Leo jioni nimemwambia mpenzi wangu arudi kwake baada ya kukaa kwangu karibia week tatu pasipo kuonyesha dalili za kuomdoka.
Amekubali kuondoka ila kwa hasira na lawama nyingi.
Nilijitafakari nikaona nitake risk kwa sababu zifuatazo.
Simjui ndugu au rafiki yake yoyote.
Sijui anapoishi.
Ni mjasiriamali hana address.
Anaonekana kwa vyovyote vile anataka ndoa.
Nimefanya vibaya ndugu zangu?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Sijamchoka kihivyo ila kadiri navyompa uhuru pale kwangu kuna vitabia anavidevelop anaonyesha ile khali ya kwamba kafika kabisaHujui ndugu wala rafiki zake,unaweza kuwajua ukitaka
Hujui anapoishi,hili nalo ni la kujua ukiamua
Anahitaji ndoa,hili nalo ni tatizo??
Kimsingi sababu zako sio za msingi...wewe sema ulimchoka tu dada wa watu baada ya kula mbususu week tatu mfululizo
Sio kimasihara ila ujio wake kukaa kwangu ndo umenshtua siku ya kwanza kuja gheto ndo kakaa kabisa weeek 3Ushamla kimasihara na sasa haumtaki au siyo?
Endelea, karma is real.
We bwana we ushamtmba tmba hadi umechoka... Hapo utakuta dada wa watu alikua anapiga deki, anaosha hadi ukuta masikini
Sitafurahi siwezi kumshauri binti yangu akae kwa mwanaume ambaye sio mmewe kwa zaidi ya siku moja kama hamna sababu ya msingiWewe Binti Yako au Dada Yako akifanyiwa ushenzi kama huu utafurahi?
Mi aliongeza nguo na kuanza kununua baadhi ya vifaa vya jikoni kama kinu na flampeniDaah haya mambo ya kukaribishwa pisi haya nilikoma
Demu alikuwa hataki kutoka nimuachia nauli nikamuelekeza funguo pa kuweka
Nikajua ataondoka kumbe kaenda kuchukua begi karudi
Wewe ndiye ulimkaribisha na kumfungulia milango umemtumia umemchoka, thamani yake imekwisha unamtaka aondoke. Sisi tukikushauri utatuelewa ?Habari zenu ndugu zangu.
Leo jioni nimemwambia mpenzi wangu arudi kwake baada ya kukaa kwangu karibia week tatu pasipo kuonyesha dalili za kuomdoka.
Amekubali kuondoka ila kwa hasira na lawama nyingi.
Kila siku nawaza kumtoa nashindwa akienda kwenye mishe zake anarudi kwanguMkulungwa eeh! Umezingua mwana kwani wiki zote tatu hukufikiria hizo risk zote?
Wiki3 obvious umechoka same match same styles same pus...y
Wewe ndiye ulimkaribisha na kumfungulia milango umemtumia umemchoka, thamani yake imekwisha unamtaka aondoke. Sisi tukikushauri utatuelewa ?Habari zenu ndugu zangu.
Leo jioni nimemwambia mpenzi wangu arudi kwake baada ya kukaa kwangu karibia week tatu pasipo kuonyesha dalili za kuomdoka.
Amekubali kuondoka ila kwa hasira na lawama nyingi.
Ntamuoa ila sio kwa style alokuja nayoTuwaoeni jamani hawa watoto wa kike sometimes nawaonea huruma sana hawa viumbe.
Na hapo alikuwa amkunja staili mbaya mbaya na ngumu.....We bwana we ushamtmba tmba hadi umechoka... Hapo utakuta dada wa watu alikua anapiga deki, anaosha hadi ukuta masikini
Sijamfukuza kwa style hiyo nimemwelewesha kistaarabu kwamba kwanini tusiwe tunameet weekend kuliko life style hiiKat#mb binti wawatu weeeeeeeee kisha anamwambia ondoka ndio maana hawa viumbe wanaenda kufanya madawa waolewe
Kwa mujibu wake hana ndugu dar wazazi wake wako mbeyaHujaamua kuwajua ndugu zake,Wee sema tu unasafisha rungu,huna mpango nae.
Tuache habari za karmaEndelea, karma is real.
Na wewe itabidi ungoje mabinti zako, utafurahia ukiona wanatagia kwako.
Ni kweli kabisaWe bwana we ushamtmba tmba hadi umechoka... Hapo utakuta dada wa watu alikua anapiga deki, anaosha hadi ukuta masikini
ππππ Masikini dada wa watuNa hapo alikuwa amkunja staili mbaya mbaya na ngumu.....