Ni sahihi kwa mwanamke ambaye sio mchumba au mke wako kukaa kwako zaidi ya week mbili?

Ni sahihi kwa mwanamke ambaye sio mchumba au mke wako kukaa kwako zaidi ya week mbili?

Hujui ndugu wala rafiki zake,unaweza kuwajua ukitaka
Hujui anapoishi,hili nalo ni la kujua ukiamua
Anahitaji ndoa,hili nalo ni tatizo??

Kimsingi sababu zako sio za msingi...wewe sema ulimchoka tu dada wa watu baada ya kula mbususu week tatu mfululizo
Halafu anakuja na sababu za hovyooooo. Hiki kizazi cha JK ni taabu tubu tupu.
 
Habari zenu ndugu zangu.

Leo jioni nimemwambia mpenzi wangu arudi kwake baada ya kukaa kwangu karibia week tatu pasipo kuonyesha dalili za kuomdoka.

Amekubali kuondoka ila kwa hasira na lawama nyingi.

Nilijitafakari nikaona nitake risk kwa sababu zifuatazo.
Simjui ndugu au rafiki yake yoyote.

Sijui anapoishi.

Ni mjasiriamali hana address.

Anaonekana kwa vyovyote vile anataka ndoa.

Nimefanya vibaya ndugu zangu?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hujaamua kuwajua ndugu zake,Wee sema tu unasafisha rungu,huna mpango nae.
 
Hujui ndugu wala rafiki zake,unaweza kuwajua ukitaka
Hujui anapoishi,hili nalo ni la kujua ukiamua
Anahitaji ndoa,hili nalo ni tatizo??

Kimsingi sababu zako sio za msingi...wewe sema ulimchoka tu dada wa watu baada ya kula mbususu week tatu mfululizo
Sijamchoka kihivyo ila kadiri navyompa uhuru pale kwangu kuna vitabia anavidevelop anaonyesha ile khali ya kwamba kafika kabisa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Daah haya mambo ya kukaribishwa pisi haya nilikoma

Demu alikuwa hataki kutoka nimuachia nauli nikamuelekeza funguo pa kuweka

Nikajua ataondoka kumbe kaenda kuchukua begi karudi
Mi aliongeza nguo na kuanza kununua baadhi ya vifaa vya jikoni kama kinu na flampeni

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu ndugu zangu.

Leo jioni nimemwambia mpenzi wangu arudi kwake baada ya kukaa kwangu karibia week tatu pasipo kuonyesha dalili za kuomdoka.

Amekubali kuondoka ila kwa hasira na lawama nyingi.
Wewe ndiye ulimkaribisha na kumfungulia milango umemtumia umemchoka, thamani yake imekwisha unamtaka aondoke. Sisi tukikushauri utatuelewa ?
 
Habari zenu ndugu zangu.

Leo jioni nimemwambia mpenzi wangu arudi kwake baada ya kukaa kwangu karibia week tatu pasipo kuonyesha dalili za kuomdoka.

Amekubali kuondoka ila kwa hasira na lawama nyingi.
Wewe ndiye ulimkaribisha na kumfungulia milango umemtumia umemchoka, thamani yake imekwisha unamtaka aondoke. Sisi tukikushauri utatuelewa ?
 
Back
Top Bottom