Ni sahihi kwa mwanamke ambaye sio mchumba au mke wako kukaa kwako zaidi ya week mbili?

Ni sahihi kwa mwanamke ambaye sio mchumba au mke wako kukaa kwako zaidi ya week mbili?

Embu suburi vip wewe ndoa huitaki? Hujui hata rafiki zake wewe ulimtoa wapi? Kwahiyo wiki mbili zote umemkula afu unataka sisi tukushauri vip? Wiki mbili unajilia vyako hajapata mimba?
Alafu sii ajabu ukute mwanamke kwa akili zake mbovu hapo kashapiga mahesabu kuwa mjamaa anaweza nimudu mie na mtoto basi anamsusiantuu jamaa mbususu amwagie ndani ndani ndani kabisaaaaa
 
kuna demu alizoea sana kuja geto kila akitoka kazini brek getoni.
na mi nikaona nishikie klach hapo hapo!!mbunye ya bure bure.

alikuwa akija kama alivyo na nguo alizotoka nazo kazini.
siku hiyo nyuma ya dressing nakuta mfuko wa TWENDE KWA SHANGAZI.

daahhh mamaee umejaa nguo zake.
sikujua zimefikaje!!na hata siku nilikuwa nikichelewa lazma anisubiri hadi nifike maana ndo funguo.

siku hiyo akinisubiri sikutokea..yule demu alilala nje asee!asubuhi nafika namkuta.
nikajua hili ninalo nikicheza hapa!

nilimtolea ule mfuko wake nikafurusha.nikafunga geto nikapotea.
daahhh ujana wote uanze mambo ya sogea tuishi.BIG NO.

ile ishu ilimuuma alipambana zaidi ya miaka 5 sasahivi amejenga kbs na kwake nimegeuza kwangu siku zingine nalala hapo na nimezaa nae...

ila kuna mdada mwingine huyu ameniweza kubabakee!
alianza kuja kuja geto nampasua..
mtoto wa kirombo alikuwa mtamu sijawahi kuona..
yaani akija anafua yaani anasafisha kila kitu afu ana aibu mshambaaa!

kila akiangalia muvi anakuuliza hivi NI KWELI WANAUANA.hahaha namwambia ni kweli ndio anaanza kulia.
huyu nimemwachia kabisa geto km kwake.na siwezi kumuacha milele
Hahahahah hapo kwa Mrombo ndio mwisho wa reli Kigoma😂😂😂!!! Hata mimi huyo Mrombo nisingemuacha anauliza kwamba kwenye movie wanauana kweli? Huyo ni waifu matirio kabisa
 
Back
Top Bottom