Bidada naye amejichoka, anawezaje kujiachia hivi bila kujua kitakachoendelea?Kishakula mbususu hadi amechoka.....haya mambo haya
Hamna mwanamke ambaye kakulia mazingira ya bongo hajawahi kwenda kulala geto kwa baasha wake iwe wiki miezi au miaka. Tena wahanga ni wale waliokulia seminary na kufua wameshafua ila humu kila mmoja anajifanya Salamander πππ!Kumbe wee unaenda ukiwa na njaa ya de libolo.
Kwa hiyo hapa zamani ulishawahi hamia kwa njemba eeh
Uko wapi nikupe connection ya demu wife materialKuna wanaume wengine tunatafuta hao wadada wa kutug'ang'ania ghetto hatuwapati mdukuzi Kunguru wa Manzese Mdukuzii
probably hukumwambia kuwa yeye ni mpenzi tu na siyo mchumbaHabari zenu ndugu zangu.
Leo jioni nimemwambia mpenzi wangu arudi kwake baada ya kukaa kwangu karibia week tatu pasipo kuonyesha dalili za kuondoka.
Amekubali kuondoka ila kwa hasira na lawama nyingi. Nilijitafakari nikaona nitake risk kwa sababu zifuatazo.
Simjui ndugu au rafiki yake yoyote.
Nimefanya vibaya ndugu zangu?
- Sijui anapoishi.
- Ni mjasiriamali hana address.
- Anaonekana kwa vyovyote vile anataka ndoa.
Ngoja niwaite hapa ili tujue mkweli ni yupi Evelyn Salt Kelsea to yeye sophy27 @ joanahHamna mwanamke ambaye kakulia mazingira ya bongo hajawahi kwenda kulala geto kwa baasha wake iwe wiki miezi au miaka. Tena wahanga ni wale waliokulia seminary na kufua wameshafua ila humu kila mmoja anajifanya Salamander πππ!
Yote hio ni libolo fc
Sijawahi hamia kwa mwanaume toka naanza mahusiano niligoma hii kitu. Nikikaa sana two days naamsha.Kumbe wee unaenda ukiwa na njaa ya de libolo.
Kwa hiyo hapa zamani ulishawahi hamia kwa njemba eeh
ππ 2days maximumHamna mwanamke ambaye kakulia mazingira ya bongo hajawahi kwenda kulala geto kwa baasha wake iwe wiki miezi au miaka. Tena wahanga ni wale waliokulia seminary na kufua wameshafua ila humu kila mmoja anajifanya Salamander πππ!
Yote hio ni libolo fc
Duh...mnyanduano wa siku mbili sii unaanza wiki ukiwa upo hoiπ€£π€£π€£π€£Sijawahi hamia kwa mwanaume toka naanza mahusiano niligoma hii kitu. Nikikaa sana two days naamsha.
Hizo story tuu, mwanamke usipo kuwa na cheti cha ndoa mume akifa ndio utajua kuwa hukuwa mkeUjue kuna kasheria japo sikakumbuki , ukikaa na mwanamke kwa mda "Fulani";; kisheria ni mke wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama bado ni kijana damu inachemkaKuna wanaume wengine tunatafuta hao wadada wa kutug'ang'ania ghetto hatuwapati mdukuzi Kunguru wa Manzese Mdukuzii
Kulala tumelala ndio sa mlitaka tutmbiewe vichakani π
Sasa si hadi game iwe heavy hivi hivi unatoka kama hujaguswa πDuh...mnyanduano wa siku mbili sii unaanza wiki ukiwa upo hoiπ€£π€£π€£π€£
Daah we acha tu alitaka niwe na mke kiulazima maana ndoa nyingi zinaanza hivyo sogeza tuishiHahhaha mbona alikuweza....action was the final say kwa upande wake...
Sasa game likiwa hovyo sii unatafuta kajisababu cha kusepa.Sasa si hadi game iwe heavy hivi hivi unatoka kama hujaguswa π
Ya vichakani nayo inanoga jamaniKulala tumelala ndio sa mlitaka tutmbiewe vichakani π
Tutafanya vitu vingine hata kuangalia movie.Sasa game likiwa hovyo sii unatafuta kajisababu cha kusepa.
Dah wanawake kumbe mnakuwa na roho nzuri kwa sie tusiojua kutomber eeh.. mtuvumiliage hivyo hivyoTutafanya vitu vingine hata kuangalia movie.
Thats evident enough, friday through sunday sleepovers ni kwa 80% of urban chicksππ 2days maximum