dottoz
JF-Expert Member
- Jan 29, 2012
- 1,510
- 870
Naona nyumba hyo ina mabonge balaaaaaaa,matukunyema,mizigo remix.
Hapa ninapoishi kuna wamama wanne wameolewa
Hawa wamama na wadogo zao wa kike full kuanika chupi zao nje tena njia ya kwenda toilet ni kama mashindano hivi ya kuanika chupi
Je ni sahihi kweli kwa mke wa mtu au mwanamke wa Kitanzania/kiafrica kuanika chupi zake nje tena sehemu ya wazi kabisa
Kama hivi[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1377581View attachment 1377583
Sent using Jamii Forums mobile app