Ni sahihi kwa mwanamke/Mke wa mtu kuanika chupi zake nje??

Ni sahihi kwa mwanamke/Mke wa mtu kuanika chupi zake nje??

Wengine wakiona kufuli tu akili zinahama. Zifunikwe na kanga kwa juu

Sent from my Nokia 7.1 using Tapatalk
 
Nguo inakaushwa kwa mwanga na sio jua. Nguo inayo anikwa sehemu ambayo haina jua ji bora kuliko inayo pigwa na jua

Nyie mnao jifanya wasomi ndio mnapotoka.

Mbona mama zetu ilikua ngumu hata kuamini wana vaa pichu lakini huwezi sikia wan UTI wala nini.

Vibinti vya leo mnasema ooh sijui afya na kila siku ma UTI kama kawa.

Mnapata faida gani kuanika juani.

Nunua hunger za ndani au kwenye baraza ambayo ni yako au anika na juu weka kanga.

Chupi ni nguo ya faragha na ya chumbani.

Chupi ni sehemu muhimu sana ya ndoa.

Chupi inahusishwa sana na imani za kishirikina.
Chupi Ni nguo Kama nguo zingine, na Kuna faida nyingi Sana za kuanika chupi nje.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ninapoishi kuna wamama wanne wameolewa

Hawa wamama na wadogo zao wa kike full kuanika chupi zao nje tena njia ya kwenda toilet ni kama mashindano hivi ya kuanika chupi

Je ni sahihi kweli kwa mke wa mtu au mwanamke wa Kitanzania/kiafrica kuanika chupi zake nje tena sehemu ya wazi kabisa

Kama hivi[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1377581View attachment 1377583

Sent using Jamii Forums mobile app
Wee ukitaka wakomesha chukua siku alafu zipake pilipili pale penye utamu unapokaa
 
Ila mwanamke anaeyanika nguo za ndani nje kama ivo ana element za umalaya

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona mmeenda mbali sasa. Yaani chupi na umalaya wapi na wapi?? Mnataka kusema kuwa ukiona chupi umeona somethingi yake?? Mbona watu tunakuwa washamba hivyo?? Ondoeni mawazo maovu muwe na mawazo safi.
Kuna faida kubwa kuanika juani chupi yako. Joto la jua linaua bacteria wengi sana. Pia kama kuna uwezekano piga pasi chupi yako. Wengi hupatwa na fangasi kwa sababu hupigi pasi.
Chupi nyingi za kike ni so delicate kwamba ukipiga pasi zinaungua au kukatika kabisa so joto pekee ni la jua. Umewahi kuliwa na "Mapunye"? Wadudu hai watokanao na nzi?? Acheni mawazo mabaya nyie
 
Mi nkionaga chupi tena ya mdada ambaye namjua m.b.o inakaza mpaka maumivu. Tena kama hamna watu nainusa kabisa[emoji23][emoji23][emoji23] na nkiinusa afu ina kashombo ka jasho jasho la mbele au nyuma weeee napigia nyeto kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona mmeenda mbali sasa. Yaani chupi na umalaya wapi na wapi?? Mnataka kusema kuwa ukiona chupi umeona somethingi yake?? Mbona watu tunakuwa washamba hivyo?? Ondoeni mawazo maovu muwe na mawazo safi.
Kuna faida kubwa kuanika juani chupi yako. Joto la jua linaua bacteria wengi sana. Pia kama kuna uwezekano piga pasi chupi yako. Wengi hupatwa na fangasi kwa sababu hupigi pasi.
Chupi nyingi za kike ni so delicate kwamba ukipiga pasi zinaungua au kukatika kabisa so joto pekee ni la jua. Umewahi kuliwa na "Mapunye"? Wadudu hai watokanao na nzi?? Acheni mawazo mabaya nyie
Ndio maana ikaitwa nguo ya ndani huwez kuiweka nje. Kama sio ushamba nenda kaanike ukweni uone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom