Ni sahihi kwa mwanamke/Mke wa mtu kuanika chupi zake nje??

Ni sahihi kwa mwanamke/Mke wa mtu kuanika chupi zake nje??

Enzi hizo 2010 kwa maravyabkwanza nimeenda home kwao kwa yf enz hizo bado ni ka dem kangu nikakuta huu utaratibu wa kuanika vyupi nje.Na baba mkwe anachukulia poa tu.Mama mkwe nae ndio mtoa idea kisa afya sijui nini.so mpaka vyup vya shemeji zangu nikavi shondo kwenye kamba.

Nilivyotoka pale nikampgia cm.yf halaf nikamwambia tu kuwa kuanzia siku ile iwe ndio mwanzo na mwisho kufanya vile.
Alinielewa
 
Hapa ninapoishi kuna wamama wanne wameolewa

Hawa wamama na wadogo zao wa kike full kuanika chupi zao nje tena njia ya kwenda toilet ni kama mashindano hivi ya kuanika chupi

Je ni sahihi kweli kwa mke wa mtu au mwanamke wa Kitanzania/kiafrica kuanika chupi zake nje tena sehemu ya wazi kabisa

Kama hivi[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1377581View attachment 1377583

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo chupi ya blue na ya pili yake naona kubwa kweli kweli. Huyo aliye anika atakua na mzigo mkubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NI SAHIHI KABISA. JUA NI NATURAL DISINFECTANT INASAIDIA KUWA KAVU VYA KUTOSHA KUUA WADUDU WNAOWEZA KULETA FANGASI UKENI. NA ISIFUNIKWE NA KHANGA IPIGWE JUA DIRECT. PIA MATERIAL NZURI ZAIDI NI YA COTTON JAPO WENGI WANASEMA NI NGUMU KWO KUFUA
 
Ukifikiri sawasawa mtu kaanika chupi zake wewe unaumia nini na unapata madhara Gani?
Utamaduni mwingine ni wakishenzi Sana aisee.
Anikeni nnje kiafya hiyo kikuridhisha wasiotaka muanike pasi na sababu achaneni nao. Madhara yakiafya yatawakuta ninyi sio wao waisotaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona watu wanajitetea kwamba zianikwe sehem yenye jua kwani huko uwani amna jua?

Kuanika chupi sehem zenye muingiliano wa pamoja ndio shida sana.
Yan muda huo unafua machupi labda baba mkwe yupo hapo na wazee wenzie wanapiga stori unaanika hapo wanakuona na mmeo wanaangalia. [emoji35][emoji35][emoji34]

Anika sehem ambayo akiona nisehem ya heshima na sio hadi watoto wa chekechea wanajua rangi zote za chuppi zako

KWAMIMI SI SAHIHI KABISA NA SIO HESHIMA

Qn
 
Hakuna mwanamke anaependa kuonesha nguo zake za ndani, ni mazingira huwalazimisha. Uanikaji ndani hazikauki na kuleta madhara ya kuvaa nguo mbichi. Hivyo hulazimika kuzianika juani ili zikauke.

Sent using Jamii Forums mobile app


Hapana !
Wengine hufanya makusudi kabisa!

Hasa wanawake wahuni mojawapo ya tabia zao ni hiyo ya kukosa staha ya mambo ya sirini.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla ya chupi, huo ukuta ni kwa ajili ya ulinzi, urembo, mipaka au aliaamua kujenga tu hela ilipoisha akaweka na tuvyuma!?

Back to the topic: Waanike tu, haswa kama zinavutia!
 
Back
Top Bottom