Hapa ninapoishi kuna wamama wanne wameolewa
Hawa wamama na wadogo zao wa kike full kuanika chupi zao nje tena njia ya kwenda toilet ni kama mashindano hivi ya kuanika chupi
Je ni sahihi kweli kwa mke wa mtu au mwanamke wa Kitanzania/kiafrica kuanika chupi zake nje tena sehemu ya wazi kabisa
Kama hivi[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1377581View attachment 1377583
Sent using Jamii Forums mobile app
Na huu ndio ukweli, mtu yeyote anaeona ukakasi kuanika chupi nje, wakati barabarani zimetundikwa, na pengine alinunua barabarani, ujue chupi yake imepoteza ubora wa awali, ivo anajificha kwenye kichaka cha maadili.Tena hao wanajiamini chupi zao safi na hazija toboka kati😀😀
Mbona barabarani zipo! na huwa tunawaona mkijijaribishia barabarani!Kiustaarabu/kiheshima sio sahihi
Lakini kiafya ni sahihi
Mbona barabarani zipo! na huwa tunawaona mkijijaribishia barabarani!
Ni sahihi kabisa maana wanawake wengi wanapata infection kwa kuogopa kuanika chupi kwenye mwanga wa jua na hili linapelekea bacteria kuzaliana na kuwasababishia matatizo makubwa.Hapa ninapoishi kuna wamama wanne wameolewa
Hawa wamama na wadogo zao wa kike full kuanika chupi zao nje tena njia ya kwenda toilet ni kama mashindano hivi ya kuanika chupi
Je ni sahihi kweli kwa mke wa mtu au mwanamke wa Kitanzania/kiafrica kuanika chupi zake nje tena sehemu ya wazi kabisa
Kama hivi[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1377581View attachment 1377583
Sent using Jamii Forums mobile app
Zile zinazouzwa barabarani bado mpya hazina shida. Hizi zinazoanikwa ni used na zimeshakuwa za kahawia pale kwenye 'Area kibrosa' na nyingine zimetoboka katikati kutokana na hekaheka zinazokutana nazo kila siku. Hivyo wengine hatupendi kuziona.Mbona barabarani zipo! na huwa tunawaona mkijijaribishia barabarani!
Kiustaarabu/kiheshima sio sahihi
Lakini kiafya ni sahihi
Inatakiwa wakianika juani hivyo wafunike na kanga au vitambaa vyepesi juu yake ili kuleta stara
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka waanike sebuleniHapa ninapoishi kuna wamama wanne wameolewa
Hawa wamama na wadogo zao wa kike full kuanika chupi zao nje tena njia ya kwenda toilet ni kama mashindano hivi ya kuanika chupi
Je ni sahihi kweli kwa mke wa mtu au mwanamke wa Kitanzania/kiafrica kuanika chupi zake nje tena sehemu ya wazi kabisa
Kama hivi[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1377581View attachment 1377583
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale wanaoziuza nao madukani nao wazifunike na nini manake hakijabadilika kitu hapo
Sent using Jamii Forums mobile app