Ni Sahihi kwa mwanaume kuoa Hali ya kuwa ndani Hana assets yoyote?

Ni Sahihi kwa mwanaume kuoa Hali ya kuwa ndani Hana assets yoyote?

Kama umri wako umeenda Sana(zaidi ya 35) oa tuu lkn Kama umri wako bado subiri
 
Mkuu hivyo ulivyo vitaja ni mahitaji ya muhimu kwenye maisha ya kila siku ya mwanadamu na sio aset
 
Back
Top Bottom