proton pump JF-Expert Member Joined Apr 30, 2017 Posts 6,814 Reaction score 10,104 Mar 2, 2025 #21 FEBIANI BABUYA said: Unaelewa maana ya assets? Click to expand... Eti godoro ni asset......π€π€π€
FEBIANI BABUYA said: Unaelewa maana ya assets? Click to expand... Eti godoro ni asset......π€π€π€
proton pump JF-Expert Member Joined Apr 30, 2017 Posts 6,814 Reaction score 10,104 Mar 2, 2025 #22 Mbaga Jr said: Huu ni upumbavu Click to expand... ππ Poor Brain
jay-millions JF-Expert Member Joined Apr 30, 2015 Posts 3,983 Reaction score 10,034 Mar 2, 2025 #23 Yaani uchukue milioni upelekee watu wakati kwako huna hata sofa? Waza sawasawa
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 19,644 Reaction score 40,546 Mar 2, 2025 #24 proton pump said: ππ Poor Brain Click to expand... Ahahhha mwzi mtukufu huu
K kasukile Member Joined Sep 10, 2024 Posts 6 Reaction score 5 Mar 2, 2025 #25 Kama umri wako umeenda Sana(zaidi ya 35) oa tuu lkn Kama umri wako bado subiri
ITR JF-Expert Member Joined Sep 22, 2022 Posts 6,096 Reaction score 16,390 Mar 2, 2025 #26 Mkuu hivyo ulivyo vitaja ni mahitaji ya muhimu kwenye maisha ya kila siku ya mwanadamu na sio aset