sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Imekuwa ni kawaida sana tangu Biden aingie madarakani huwa hajibu maswali ya kwenye presss na hakuna accountability anayohukua.
Pia kufanya speech imekuwa mtihani kwake, hasa pale mazingira yanapokuwa sio rafiki kwa kutumia teleprompter, mfano hapo 9/11 alienda zima moto, pentagon na pennyslvenia lakini hakufanya speech, ni Trump pekee aliefanya speech ofisi za zimaoto na kupata support kubwa.
Hii hali imechochea hata channel ya ikulu ya yputube kutopata watazamaji na hata wakwemo basi huwa wana dislike video.
Ni dhahiri haya yote ni kwajili ya afya mbovu ya Biden
Pia kufanya speech imekuwa mtihani kwake, hasa pale mazingira yanapokuwa sio rafiki kwa kutumia teleprompter, mfano hapo 9/11 alienda zima moto, pentagon na pennyslvenia lakini hakufanya speech, ni Trump pekee aliefanya speech ofisi za zimaoto na kupata support kubwa.
Hii hali imechochea hata channel ya ikulu ya yputube kutopata watazamaji na hata wakwemo basi huwa wana dislike video.
Ni dhahiri haya yote ni kwajili ya afya mbovu ya Biden