Maji ya mvua sio salama sana kama watu wanavofikiri kwa sababu;
Moja ni uchafuzi wa mazingira unaoendelea ambapo kuna dust particles either from burning fuels or any other air pollution from industrial emmitted gases zinakua around the atmosphere which contaminate the rain drops as the result maji yanakua sio salama kwa kunywa.. kuna gases nyingine zikiyeyuka kwenye maji ni inivisible but very harfmful to human health.
Pili tunaangalia kitu kinaitwa catchment.. apa catchment tunazungumzia pale ambapo matone ya mvua hutua yakitokea juu..mfano bati tukiongelea katika mazingira ya nyumba. Bati unakuta lina kutu, vumbi na matakataka mengi, mengine majani ya miti ambayo yanaweza kua makazi pia ya vimelea magonjwa hivyo maji yanakua sio salama.
Sasa tunafanyaje ili tupunguze contamination ya haya maji?
Moja ni kuhakikisha bati linakua halina kutu maana kama tunavojua chuma chochote hakitakiwi kwenye mwili wa binadamu.
Mbili, mabati wandugu yasifishwe kabla ya kuvuna maji hasa wale ambao mabati yao yanakua na majani kutokana na mti kua juu ya mabati..
Tatu, mvua kinyesha usikimbilie kukinga maji, subiri kidogo ili maji yalisafishe bati na baada ya muda kidogo ndo ukinge..
Nne, maji ya mvua yanatakiwa kua treated kwa either kuchemsha nyuzi joto 100°C au kuweka chorine kuua vimelea vyovote vya magonjwa.
Nb: Maji ukiyaona ni safi haina maana ni salama kwa kunywa.. kwaio ni vizuri yawe treated ili yawe salama.
Asante!
Sent using
Jamii Forums mobile app