NI sahihi Makatibu Wakuu wa sekta zilizovurunda kupewa tena nafasi kurekebisha makosa na kuchukua hatua watendaji waliopo chini yao?

NI sahihi Makatibu Wakuu wa sekta zilizovurunda kupewa tena nafasi kurekebisha makosa na kuchukua hatua watendaji waliopo chini yao?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Nampongeza Mhe. Rais Kwa ukali anaouonyesha Kwa vitendo na kwakuzingatia ethics za utumishi na Mila zetu.

Ila napata wasiwasi pale ambapo Makatibu wakuu waliochemsha wanapopewa nafasi yakujibu tena hoja; NI approach nzuri hasa Kwa wanaoamini kama Mimi kwamba report ya CAG imejaa Sana hoja za NON compliance kuliko hoja za wizi. Ila nivigumu kuamini kueleweka Kwa wale wanaoamini kilichoelezwa kwenye ripoti Ile NI wizi.

Kwa Mimi ninayeamini kwamba report hii ya CAG Kwa maeneo mengi inaripoti non compliance means KM wanaweza kupangua hoja Kwa kuwasilisha vielelezo muhimu au kuboresha michakato Yao ya kutoa huduma.

Kwa wale wanaoamini upo wizi nivigumu kuamini kwamba KMs wanaweza kukamatwa wezi waliopo chini Yao Kwa Sababu taarifa za wezi hao zilipatikana wakati wa exit meetings za kisekta.

Nani kulifumbua fumbo kubwa hivi?
 
Kama unaamini issue ni non compliance, basi Rais asingeagiza ufanyike uchunguzi dhidi ya wasaidizi walioonekana kukosea, angeacha hao makatibu wakuu watoe maelezo kesi iishie hapo.

Lakini kitendo chake kutaka wasaidizi wahojiwe ikithibitika walivurunda wachukuliwe hatua, anathibitisha kuna makosa yalifanyika, lakini bahati mbaya anataka wadogo waadhibiwe kwa makosa hayo, huku wakuu wao wakiachwa ofisini.

Hatua alizochukua Rais leo ni usanii mtupu, ni sawa na kufunika kombe mwanaharamu apite, hapo hao makatibu wakuu watawalinda wasaidizi wao, kama ambavyo Rais anawalinda makatibu wakuu, mwisho wa siku tunabaki hapa hapa.
 
Nampongeza Mhe. Rais Kwa ukali anaouonyesha Kwa vitendo na kwakuzingatia ethics za utumishi na Mila zetu.

Ila napata wasiwasi pale ambapo Makatibu wakuu waliochemsha wanapopewa nafasi yakujibu tena hoja; NI approach nzuri hasa Kwa wanaoamini kama Mimi kwamba report ya CAG imejaa Sana hoja za NON compliance kuliko hoja za wizi. Ila nivigumu kuamini kueleweka Kwa wale wanaoamini kilichoelezwa kwenye ripoti Ile NI wizi.

Kwa Mimi ninayeamini kwamba report hii ya CAG Kwa maeneo mengi inaripoti non compliance means KM wanaweza kupangua hoja Kwa kuwasilisha vielelezo muhimu au kuboresha michakato Yao ya kutoa huduma.

Kwa wale wanaoamini upo wizi nivigumu kuamini kwamba KMs wanaweza kukamatwa wezi waliopo chini Yao Kwa Sababu taarifa za wezi hao zilipatikana wakati wa exit meetings za kisekta.

Nani kulifumbua fumbo kubwa hivi?
SIO SAHIHI UBADHILIFU ULIOFANYIKA NI MKUBWA SANA KWA VYOVYOTE VILE WAKUBWA NDIO WAMEHUSIKA
 
Nampongeza Mhe. Rais Kwa ukali anaouonyesha Kwa vitendo na kwakuzingatia ethics za utumishi na Mila zetu.

Ila napata wasiwasi pale ambapo Makatibu wakuu waliochemsha wanapopewa nafasi yakujibu tena hoja; NI approach nzuri hasa Kwa wanaoamini kama Mimi kwamba report ya CAG imejaa Sana hoja za NON compliance kuliko hoja za wizi. Ila nivigumu kuamini kueleweka Kwa wale wanaoamini kilichoelezwa kwenye ripoti Ile NI wizi.

Kwa Mimi ninayeamini kwamba report hii ya CAG Kwa maeneo mengi inaripoti non compliance means KM wanaweza kupangua hoja Kwa kuwasilisha vielelezo muhimu au kuboresha michakato Yao ya kutoa huduma.

Kwa wale wanaoamini upo wizi nivigumu kuamini kwamba KMs wanaweza kukamatwa wezi waliopo chini Yao Kwa Sababu taarifa za wezi hao zilipatikana wakati wa exit meetings za kisekta.

Nani kulifumbua fumbo kubwa hivi?
Non compliance it's just a coated statement.

Huo ni wizi tu kama mwingine.
 
Kama unaamini issue ni non compliance, basi Rais asingeagiza ufanyike uchunguzi dhidi ya wasaidizi walioonekana kukosea, angeacha hao makatibu wakuu watoe maelezo kesi iishie hapo.

Lakini kitendo chake kutaka wasaidizi wahojiwe ikithibitika walivurunda wachukuliwe hatua, anathibitisha kuna makosa yalifanyika, lakini bahati mbaya anataka wadogo waadhibiwe kwa makosa hayo, huku wakuu wao wakiachwa ofisini.

Hatua alizochukua Rais leo ni usanii mtupu, ni sawa na kufunika kombe mwanaharamu apite, hapo hao makatibu wakuu watawalinda wasaidizi wao, kama ambavyo Rais anawalinda makatibu wakuu, mwisho wa siku tunabaki hapa hapa.
Screenshot_20230409-214830.png


Waswahili wamepewa mda wa kujitetea ngoja uone watampiga chenga..
 
Wao ndio Accounting Officers, lakini hawakuwepo wakati JPM na kundi lake wakipitisha kimbunga Cha wizi, tutawaonea tu.

JPM alikuwa anasema anataka kuwa tajiri kama Uhuru Kenyata na Raila
 
Wewe ni kiraza..wizi huu umefanyia juzijuzi
Wao ndio Accounting Officers, lakini hawakuwepo wakati JPM na kundi lake wakipitisha kimbunga Cha wizi, tutawaonea tu.

JPM alikuwa anasema anataka kuwa tajiri kama Uhuru Kenyata na Raila
E
 
Kq
Nampongeza Mhe. Rais Kwa ukali anaouonyesha Kwa vitendo na kwakuzingatia ethics za utumishi na Mila zetu.

Ila napata wasiwasi pale ambapo Makatibu wakuu waliochemsha wanapopewa nafasi yakujibu tena hoja; NI approach nzuri hasa Kwa wanaoamini kama Mimi kwamba report ya CAG imejaa Sana hoja za NON compliance kuliko hoja za wizi. Ila nivigumu kuamini kueleweka Kwa wale wanaoamini kilichoelezwa kwenye ripoti Ile NI wizi.

Kwa Mimi ninayeamini kwamba report hii ya CAG Kwa maeneo mengi inaripoti non compliance means KM wanaweza kupangua hoja Kwa kuwasilisha vielelezo muhimu au kuboresha michakato Yao ya kutoa huduma.

Kwa wale wanaoamini upo wizi nivigumu kuamini kwamba KMs wanaweza kukamatwa wezi waliopo chini Yao Kwa Sababu taarifa za wezi hao zilipatikana wakati wa exit meetings za kisekta.

Nani kulifumbua fumbo kubwa hivi?
Kwani hayo makosa wameyafanya wao ama yamefanywa na baadhi ya watumishi wa Taasisi zilizopo chini yao?
 
Lakini kitendo chake kutaka wasaidizi wahojiwe ikithibitika walivurunda wachukuliwe hatua, anathibitisha kuna makosa yalifanyika, lakini bahati mbaya anataka wadogo waadhibiwe kwa makosa hayo, huku wakuu wao wakiachwa ofisini.
Kama KM hakuwepo wakati lilipotokea hilo tukio, kwa nini umuadhibu bila ya sababu?

Hata mimi naamini kesi nyingi ni za non compliance, wafanyakazi wengi kufanya retirement baada ya matumizi huwa ni shida sana na hupambana sana na wahasibu.

Mwengine anakuletea vitu vya ajabu sana, mfano amenunua kitabu cha risiti za taxi akisafiri leo utakuta risiti imeishia namba 5, akisafiri baada ya wiki mbili au tatu imeishia namba sita (hata kutumia akili hawatumii).
 
Funika kombe mwana haram apite, style iliyotumika
 
Hi
Nampongeza Mhe. Rais Kwa ukali anaouonyesha Kwa vitendo na kwakuzingatia ethics za utumishi na Mila zetu.

Ila napata wasiwasi pale ambapo Makatibu wakuu waliochemsha wanapopewa nafasi yakujibu tena hoja; NI approach nzuri hasa Kwa wanaoamini kama Mimi kwamba report ya CAG imejaa Sana hoja za NON compliance kuliko hoja za wizi. Ila nivigumu kuamini kueleweka Kwa wale wanaoamini kilichoelezwa kwenye ripoti Ile NI wizi.

Kwa Mimi ninayeamini kwamba report hii ya CAG Kwa maeneo mengi inaripoti non compliance means KM wanaweza kupangua hoja Kwa kuwasilisha vielelezo muhimu au kuboresha michakato Yao ya kutoa huduma.

Kwa wale wanaoamini upo wizi nivigumu kuamini kwamba KMs wanaweza kukamatwa wezi waliopo chini Yao Kwa Sababu taarifa za wezi hao zilipatikana wakati wa exit meetings za kisekta.

Nani kulifumbua fumbo kubwa hivi?
Yoo inaitwa wamalizane wenyewe Mhalifu una mpa rungunkushighulikia wahalifu wadogo then yeye unamalizana Naye kwa mamlaka uliyopewa na katiba
 
Wao ndio Accounting Officers, lakini hawakuwepo wakati JPM na kundi lake wakipitisha kimbunga Cha wizi, tutawaonea tu.

JPM alikuwa anasema anataka kuwa tajiri kama Uhuru Kenyata na Raila
Wewe ni tako la kushoto!
 
Wao ndio Accounting Officers, lakini hawakuwepo wakati JPM na kundi lake wakipitisha kimbunga Cha wizi, tutawaonea tu.

JPM alikuwa anasema anataka kuwa tajiri kama Uhuru Kenyata na Raila
Nonsense
 
Back
Top Bottom