General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Nimemuona Rc wa DSM, Ndugu Makonda akihamasisha Fiesta na kulifanyia promotion.
Je ni sahihi viongozi wa kisiasa kutumika kwenye matangazo ya biashara ya makampuni binafsi?
Sio Makonda pekee, hata Wakuu wa mikoa mingine, ma RPC nimeona wakifanya hivi.
Hii imekaajee??
Je ni sahihi viongozi wa kisiasa kutumika kwenye matangazo ya biashara ya makampuni binafsi?
Sio Makonda pekee, hata Wakuu wa mikoa mingine, ma RPC nimeona wakifanya hivi.
Hii imekaajee??