Ni Sahihi Makonda kufanya Promo tangazo la Fiesta?

Ni Sahihi Makonda kufanya Promo tangazo la Fiesta?

ni kitu cha kawaida sanaaaa...

promo kafanya PUTIN ya kombe la dunia lililodhaminiwa na adidas ndio sembuse makonda

embu acheni kelele bwana
 
Hivi bifu lao na cloudz media limeshaishaga..[emoji41][emoji41]..??..
 
Mkuu General Mango, hii imekaa vizuri, iko poa na ni sahihi kabisa.

Tamasha la fiesta lina pande 3,
The Bussiness aspect, Clouds wanafanya biashara na kuvuta mpunga mnene.
The Social aspect, watu wanaburidika kwa kuenjoy na ku relax, hivyo kufurahi na kupata ustawi.
The Interprenaship, hii wanafundisha kuchangamkia fursa, hivyo kutoa ajira na kupunguza unemployment na vibaka.

Hayo ni miongoni mwa majukumu ya viongozi wote kuyapromoti.
P
Hata Mkapa anawafanyia promo Dsm Community Bank, hii ni kawaida sana!
 
Mawingu wameamua kushirikiana na mvaamizi wao waziwazi? Kwa kweli WCB wawape poo kidogo wenzao, hii kamata mwizi ni hatari, tukutane NANGWANDA, tukaijaze NANGWANDA.
WCB vidagaa tu..watashindana wapi na CMG
 
Nimemuona Rc wa DSM, Ndugu Makonda akihamasisha Fiesta na kulifanyia promotion.

Je ni sahihi viongozi wa kisiasa kutumika kwenye matangazo ya biashara ya makampuni binafsi?

Sio Makonda pekee, hata Wakuu wa mikoa mingine, ma RPC nimeona wakifanya hivi.

Hii imekaajee??

Mwenyekiti wa kamati ya usalama ya mkoa, sio mbaya kutia neno kwa jambo linalofanyika mkoani kwake
 
Hata Mkapa anawafanyia promo Dsm Community Bank, hii ni kawaida sana!
Kwani mkapa ni kiongozi was nchi gani kwa sasa?swali LA general mangi limebase kwa viongozi was serikali kuhusika katika matangazo ya biashara!!
 
Back
Top Bottom