General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Ikalie utagundua!Hii imekaajee??
HahahahaSi ipo katika mkoa wake? au unateseka mkuu?
Nimeuliza hata kwa wakuu wa mikoa wengine kujihususha na matangazo ya biashara kwa makampuniMbona nimeona Kama wakuu wengi wa Mikoa wamelipromo sana
Huendi wewe na nani?Hahaha huyu hapendwi, akifanya promo hatuendi. Promo awaachie kina Kajala, shishi baby na kina Hamisa Mabeto.
Usiwe na wasiwasi aki promote yeye hatuendi.
Hatuendi mimi na mke wangu, ulitaka tukuongeze kwenye list?!Huendi wewe na nani?
Mkuu General Mango, hii imekaa vizuri, iko poa na ni sahihi kabisa.Nimemuona Rc wa DSM, Ndugu Makonda akihamasisha Fiesta na kulifanyia promotion.
Je ni sahihi viongozi wa kisiasa kutumika kwenye matangazo ya biashara ya makampuni binafsi?
Sio Makonda pekee, hata Wakuu wa mikoa mingine, ma RPC nimeona wakifanya hivi.
Hii imekaajee??
[/MEDIA]
Pumbavu zenu. Sasa unafikiri Fiesta ndio itakosa watu?Hatuendi mimi na mke wangu, ulitaka tukuongeze kwenye list?!