Ni sahihi mke na mme au wapenzi kutaniana kwa kutukanana matusi?

Ni sahihi mke na mme au wapenzi kutaniana kwa kutukanana matusi?

Sisi ni washkaji, tunataniana fresh tu hamna noma na bado heshima iko palepale.
Hakuna Heshima ya kuitana Bwege hapo.

Utani tu wa namna hiyo unaonesha hamheshimiani.

Utani uko hivi: Mpenda K umekuja, pole na kazi, habari za huko?

We mwanamke unapenda hela yaani nimefika tu unanikagua mifuko; hapo kinachofuata ni Kicheko hadi uchovu woote unaisha.
Utasikia Mke anajibu Bwanaeee nguo zako ntakua sikufurii wala kupiga pasi haani hamna hata buku?
 
Walio oana au wapenzi wa kimalaya malaya wasio na heshima au adabu au nidhamu au maadili ya kujua mume au mke ni nani au mwanandoa mtarajiwa ndio hufanya hayo matani ya waliolelewa uswekeni, hiyo ni tabia ya kishenzi na waliolelewa kishenzi shenzi yaani uswekeni, wapenzi au wana ndoa heshima au adabu au lugha nadhifu, yenye hekima, busara na nidhamu ndio msingi mkuu wa kuishi maisha mazuri na miaka mingi..

Tabia hizo za kishenzi ni za washenzi tu katika ndoa au wana ndoa watarajiwa, yaani malaya wamekutana
 
Inategemea na personality mm mke wangu(nikijaaliwa), lazma utani uwepo mm ni mtu naependa sana kuwa care free! Zile you bich bring your ass over here lazma ziwe nyingi sana🤣. Ila utani utaisha pale tutakapo kuwa na watoto....
 
Asee yani mi ni mtu wa matusi sana mke wangu mara ya kwanza alikuwa anakwazika ila saivi tumekuwa pipa na mfuniko nikimwita k ana niita mbr yani full matusi mtoto wetu bado mdogo miezi 13 hivi tunajifunza sasa kuacha asee kasijekuwa kahuni
 
Back
Top Bottom