Ni sahihi mke na mme au wapenzi kutaniana kwa kutukanana matusi?

Ni sahihi mke na mme au wapenzi kutaniana kwa kutukanana matusi?

Hao wenye mitusi hata adabu hawana ukiwachunguza vizuri, wengi wameokotana kimboka kwahiyo ununuaji unaendelea hata baada ya kuoana..!!! Mtu mwenye akili timamu huwezi kutoa mitusi hovyo mbele za watu eti nyie washkaji mnataniani mxiewwww!!!

Na wengine huo ujinga wao wanauendeleza hata baada ya kupata watoto, wakiwa panya road baadae mnaanza kulalamika..!!
 
Back
Top Bottom