"Kikaragosi"🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Leta ulokole chumbani uone unavyochapiwa na wahuni,kwa taharifa yako wewe mstaarabu mkeo anagongwa na sie wenye matusi wala sio wastaarabu wenzio,Mlikutana kimboka??
🤣🤣🤣🤣 ww mke wangu anapigwa matusi ya kitandani sio hayo ya mdomoni bwege weweLeta ulokole chumbani uone unavyochapiwa na wahuni,kwa taharifa yako wewe mstaarabu mkeo anagongwa na sie wenye matusi wala sio wastaarabu wenzio,
Kinachofanya wengi waone ni mbaya nadhani ni insecurities tu, wanakuwa ni watu fulani hivi wasiojiamini na wanaohisi kudharauliwa. Kimsingi dharau za mwanamke zipo kwenye matendo na wala si maneno.Asee yani mi ni mtu wa matusi sana mke wangu mara ya kwanza alikuwa anakwazika ila saivi tumekuwa pipa na mfuniko nikimwita k ana niita mbr yani full matusi mtoto wetu bado mdogo miezi 13 hivi tunajifunza sasa kuacha asee kasijekuwa kahuni
huo utani ndio huimarisha ndoa sanaKuna baadhi ya wanandoa na wapenzi kutaniana kwa kutukanana matusi tena matusi mengine ni ya ajabu sana
Na wanawake wanapenda sana kutumia matusi kwa wenza wao Kama matani
Mifano ni mingi,mfano ikiwa mwanamke anataka kufahamu mumewe alipo atampigia simu au sms "Weee bwege uko wapi?
Wewe kenge njoo ule
Halafu wewe nyoko acha ubishi basi!
Wewe mwanaume wa michepuko Sasa hivi upo kwa nani coz sikuoni home "
Wanaume nao hukubali kujibizana kwa njia hiyo hiyo ya matusi mpaka ya nguoni
Je ni sahihi kutaniana kwa njia ya matusi?
Binafsi ni big nooooooo!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Shida iko.
Harufu ya mbolea mtaifunika na nini?
Kuna mambo yanafurahisha sana..."Kikaragosi"🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
"Maku yako"😏😏 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Una uchizi wako fulani so amazing 😛
Katika mazingira ya utani Inaruhusiwa na Inapendeza sana
Mnooo yaniKuna mambo yanafurahisha sana...
Kweli mkuu mimi bahati ni kwamba nimemwoa rafiki yangu kweli mbali na utani mwingi lakini tunaheshimiana sana sana..Kinachofanya wengi waone ni mbaya nadhani ni insecurities tu, wanakuwa ni watu fulani hivi wasiojiamini na wanaohisi kudharauliwa. Kimsingi dharau za mwanamke zipo kwenye matendo na wala si maneno.
Ukipata mwanamke smart, anaetambua majukumu yake, anakusikiliza na kufanya kila unachomueleza, utani wa maneno unawezaje kuwa ishara ya dharau? Na kwanza kama wote akili zinafanya kazi vizuri basi hamuwezi kuvuka mipaka na matani yatakayofanyika ni yale ya kila siku (ambayo mmezoea kuitana tena mkiwa indoor)
Nakubali hilo swala haliwezekani kufanyika kwa kila couple, ila ikitokea watu wana chemistry na kuendana katika vitu vingi, swala la utani halikwepeki.
Inategemea jinsi hao wanandoa walivyozoeshana. Kama walizoeshana matusi na kila mmoja anayachukulia poa, hakuna shida hata kidogo. Maisha yaendelee!Kuna baadhi ya wanandoa na wapenzi kutaniana kwa kutukanana matusi tena matusi mengine ni ya ajabu sana
Na wanawake wanapenda sana kutumia matusi kwa wenza wao Kama matani
Mifano ni mingi,mfano ikiwa mwanamke anataka kufahamu mumewe alipo atampigia simu au sms "Weee bwege uko wapi?
Wewe kenge njoo ule
Halafu wewe nyoko acha ubishi basi!
Wewe mwanaume wa michepuko Sasa hivi upo kwa nani coz sikuoni home "
Wanaume nao hukubali kujibizana kwa njia hiyo hiyo ya matusi mpaka ya nguoni
Je ni sahihi kutaniana kwa njia ya matusi?
Binafsi ni big nooooooo!!!!
Yeahsi sawa, tusi ni tusi tu, tusi haliwezi kuwa utani.
ni kufungua upenyo wa kukoseana heshima.
hahah hua napendaga sana ujinga ujinga wako...Mnooo yani
Uko sahihi kabisaa.Chakushangaza mahusisiano ya watu wa aina hiyo hua yanadumu muda mrefu kuliko yale ya watu walio serious.
Ukitaka kufurahia mapenzi pata mwenza ambae chemistry zinaendana.
Utani mzuri ni kama ule waKuna baadhi ya wanandoa na wapenzi kutaniana kwa kutukanana matusi tena matusi mengine ni ya ajabu sana
Na wanawake wanapenda sana kutumia matusi kwa wenza wao Kama matani
Mifano ni mingi,mfano ikiwa mwanamke anataka kufahamu mumewe alipo atampigia simu au sms "Weee bwege uko wapi?
Wewe kenge njoo ule
Halafu wewe nyoko acha ubishi basi!
Wewe mwanaume wa michepuko Sasa hivi upo kwa nani coz sikuoni home "
Wanaume nao hukubali kujibizana kwa njia hiyo hiyo ya matusi mpaka ya nguoni
Je ni sahihi kutaniana kwa njia ya matusi?
Binafsi ni big nooooooo!!!!
🕺🕺😘hahah hua napendaga sana ujinga ujinga wako...