MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,304
- Thread starter
- #21
Tumia Akili Hukumu mpaka inatolewa na Mahakama kuu ni wazi Taratibu zilifuata ingejuwa hazikufuata lisingefika Mahakama Kuu lingeamuliwa lifuate TaratibuSuala la ardhi linatatuliwa na Mahakama za Ardhi labda aliona huo mgogoro haukufuata taratibu stahiki ndiyo maana akapuuza hiyo hukumu.