Tunaogopa sana macho ya watu kuliko furaha zetu
Hii mentality ni mbaya sana
Life is about choices u make a choice n u face the consequences period
Afterall we learn through mistakes if we dont make mistakes how can we learn??
Ndio mkuuWewe tena mbona unanichanganya mkuu mpk 70yrs
Je kipi kinakuwa cha kwanza akilini/nafsini/moyoni mwako.Its not easy as u think tena more especially ukiwa Ke jamii haikuchukulii vile unavyoona wewe
Je kipi kinakuwa cha kwanza akilini/nafsini/moyoni mwako.
jamii au feysher ?
Uhalisia ni kwamba hakuna jambo utakalolifanya hata iweje kuweza kuiridhisha jamii.
Fanya upate mtoto mapema kama unahakika unaweza lea mwenyewe kama huwezi achaNaomba tujadili kidogo je kufikisha miaka 30+ kwa binti bila kuwa na mtoto kwa misimamo ya kusubiri Ndoa ni sawa au si sawa
Unapofanya jambo lazima uwe na uhakika kuwa unaweza fanya peke yako kwanza hasa kwenye malezi kwa dunia ya sasa maana hata sisi wanaume kuna muda tunakuwa wabinafsi sanaNadhani ntasubir mkuu
Unapofanya jambo lazima uwe na uhakika kuwa unaweza fanya peke yako kwanza hasa kwenye malezi kwa dunia ya sasa maana hata sisi wanaume kuna muda tunakuwa wabinafsi sana
Wengi bado wako kwa wazazi na mzigo bado uko kwa bibi na babu lazima wapeteNimekwelewa ila nikiwaza sana naona nakosea kusubiri sana au niuwoga tu mbona uswahilini watoto wadogo wanazaa tu na watoto wao wanakua tu vizuri
Hahahahaha poa bhn naona unatamani kuwa mamaHuyu mama hajalea mda mrefu sana namuona anavyotamanigi wajukuu wa wengine /ndugu ingawa anamkwara wa kutozaa kabla ya ndoa
Fanya uchaguzi sahihi mimi bado sijafikilia kuitwa baba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sana tu mkuu
Its not easy as u think tena more especially ukiwa Ke jamii haikuchukulii vile unavyoona wewe
Je kipi kinakuwa cha kwanza akilini/nafsini/moyoni mwako.
jamii au feysher ?
Uhalisia ni kwamba hakuna jambo utakalolifanya hata iweje kuweza kuiridhisha jamii.