Ni sahihi mwanamke kufika miaka 30 bila mtoto kwa kigezo cha kusubiri ndoa?

Ni sahihi mwanamke kufika miaka 30 bila mtoto kwa kigezo cha kusubiri ndoa?

Wengi wao ambao hawana changamoto za afya/wenza wa kudumu huwa :
-waoga wa majukumu
-kupenda utoto /ujana uendelee kudumu maishani mwao
-kuogopa miili kulegea /kuzeeka
-uchoyo na kuendekeza starehe za ujanani
-kutokuwa na uhakika wa matunzo /kipato
-kuiogopa suluba ya labor /kuzaa kwa uchungu
-kuathiriwa na imani kwamba akizaa maungo yao yatatanuka(ashakum si matusi) kuwa na bwawa
-kuwa na historia ya kuumizwa kisaikolojia au kuteswa kimwili hapo awali hasa na wanaume.
Hayo ni maoni yangu tu.
mchango mzuri
 
sijui ila mara nyingi nimeona watoto wa mwisho kuzaliwa kwenye baadhi ya familia wamekuwa na akili sana,wakati baba ana miaka 55 mama ana 45
Ukisoma biology growth and development,seli za mwili hufa kadri umri unavyosogea haiwezi kuwa sawasawa kupata mtoto ukiwa na miaka 30 ukilinganisha na miaka 45
 
Ukisoma biology growth and development,seli za mwili hufa kadri umri unavyosogea haiwezi kuwa sawasawa kupata mtoto ukiwa na miaka 30 ukilinganisha na miaka 45

Hii haiwez kuwa sawa ni kwa mama au mtoto mkuu
 
Naomba tujadili kidogo je kufikisha miaka 30+ kwa binti bila kuwa na mtoto kwa misimamo ya kusubiri Ndoa ni sawa au si sawa
Depend na mentality ya mtu
Maisha sio mshindano
If she is okay then is okay hata kama unaona sio sahihi ndo perception yake
Sidhan kama kuna sehem imeandikwa mwanamke lazima azae akiwa chini ya 30
All in all is choices na pia blessings
 
Depend na mentality ya mtu
Maisha sio mshindano
If she is okay then is okay hata kama unaona sio sahihi ndo perception yake
Sidhan kama kuna sehem imeandikwa mwanamke lazima azae akiwa chini ya 30
All in all is choices na pia blessings

Sawa mkuu
 
Kama ulishawahi kupata bahati ya kwenda kliniki ya uzazi,wajawazito walio chini ya cm 160,chini ya miaka 18 au juu ya miaka 30 huwa wanahuduma maalumu sidhani kama hospital wangefanya hivyo kama hakuna sababu za msingi,mimi naamini kubeba mimba katika magroup hayo matatu kuna shida
 
Kama ulishawahi kupata bahati ya kwenda kliniki ya uzazi,wajawazito walio chini ya cm 160,chini ya miaka 18 au juu ya miaka 30 huwa wanahuduma maalumu sidhani kama hospital wangefanya hivyo kama hakuna sababu za msingi,mimi naamini kubeba mimba katika magroup hayo matatu kuna shida

Kwaiyo kwa uwelewa wako ni mda gani sahihi wa kubeba mimba
 
Kwaiyo kwa uwelewa wako ni mda gani sahihi wa kubeba mimba
20-35kama umechelewa sana ,kwa nchi zetu masikini mimba ni ugonjwa,kama na wewe mzazi unakuwa na matatizo hali inakuwa mbaya zaidi
 
Tunaogopa sana macho ya watu kuliko furaha zetu
Hii mentality ni mbaya sana
Life is about choices u make a choice n u face the consequences period
Afterall we learn through mistakes if we dont make mistakes how can we learn??
Umeniaminisha maisha hayana formula ukiwa teyar kufanya kitu fanya no matter wengine watakichukuliaje
 
Back
Top Bottom