Haha..mdogo wangu wa mwishoHapo kwenye "Last born wangu wa miaka 21" nahisi kama unatupanga??
Hakuna aliye ndani ya muda. Hapo nimekuelewa vizuri tu.To the matter of fact, kwakua uzazi wao unawahi kukata kwa umri huo kama hajaolewa basi ajitahidi kuzaa ili apate mtoto wa kumliwaza (Mama mnaelewa). Ila kwa kuolewa hakuna fixed time, basi tu vile sijui hua twawachukuliaje wanawake waliochelewa kuolewa.
Lakini Time is Illusion, ni kitu tu tulichoweka. Halafu mimi naweza kuchelewa kwakua ww umewahi au naweza wahi kwakua ninyi mmechelewa So. Inshort Hakuna aliye ndani ya muda.
Watu wa theory of relativity mnanielewa
23Mama yako alipewa mimba na miaka mingapi?
naomba jibu tuendelee na mjadala
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Aisee Mkuu huu ulipaswa uwe uzi kabisaNi balaa mkuu, ndo maana wanasemaga mwalimu wa mwanamke Ni KIPOFU
Kwa maana
MWANAUME AKIOA ANAHITAJI:
1. Kupikiwa
2. Unyumba
3. Kupumzika
4. Uvumilivu
MWANAMKE AKIOLEWA ANAHITAJI MWANAUME WAKE UWE:-
1. Mpenzi
2. Rafiki
3. Mshikaji
4. Kaka
5. Baba
6. Mwalimu
7. Bosi
8. Mpiganaji
9. Askari
10. Mlinzi
11. Mpishi
12. Fundi umeme
13. Fundi bomba
14. Mchungaji
15. Mzee wa kanisa
16. Shehe
17. Daktari
18. Mpambaji
19. Mwana mitindo
20. Modo
21. Mnyanyua vyuma
22. Fundi magari
23. Mwanasheria
24. Mhasibu
25. Fundi seremala
26. Mcheshi
27. Mwanamuziki
28. Muigizaji
29. Shamba boi
30. Fundi ujenzi
31. Msafi
32. Unajali
33. Mzazi
34. Mlezi
35. Mvumilivu
36. Mjanja
37. Mpole
38. Mkarimu
39. Msikivu
40. Mtunza siri
41. Mkweli
42. Kiongozi
43. Tajiri
44. Mpangaji
45. Mwana Michezo
46. Mtundu
47. Tegemeo
48. Jasiri
49. Mthubutu
50. Shupavu
51. Mwerevu
52. Muungwana
HAPO HAPO UNATAKIWA:-
53. Uwe Fundi kitandani.
54. Uwe unamtoa outing.
55. Uwe unampa pesa za kutosha.
56. Usimsumbue sumbue.
57. Usiangalie wanawake wengine.
HALAFU KUNA:-
58. Kumnunulia vizawadi zawadi hapa na pale.
59. Kumsifia alivyoumbika.
60. Kumsifia alivyopendeza.
61. Kumfungulia mlango, kumshikia pochi.
PIA USISAHAU:-
62. Siku yake ya kuzaliwa.
63. Kumbukumbu ya ndoa.
64. Siku ya valentine.
MUHIMU SANA, KUWA MAKINI:-
65. Jifunze kutoulizia chenji ukimpa pesa ya shopping.
66. Usipende kubishana nae kila kitu
WANAUME KAZ TUNAYO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sawa maana nlishaanza kufikiri tunachati na agemate wa Faiza foxHaha..mdogo wangu wa mwisho
ππ Hilo nalo lawezekana pia..watu tumekula chumvi humu.Hapo sawa maana nlishaanza kufikiri tunachati na agemate wa Faiza fox
yule mama anavimisemo flani ya kuonesha kala MUNYU usimpimie kwasababu sometimes huwa anajidogodishagaHehehehe kumbeeee!!..ila kasie sidhani Kama anafikia kwa Faiza ..yupo hapo kwenye 30-40..kwa kudhani tu
ππππ Sawa bwana.yule mama anavimisemo flani ya kuonesha kala MUNYU usimpimie kwasababu sometimes huwa anajidogodishaga
Yaani we jamaa kwenye points zako nilijua tu #3 haiwezi kukosa[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unayo bikra?Hahahahha!
Hiyo point ipo kila mahali
Dada yangu kaolewa ana miaka 32 hakuna shinda naitwa mjomba soon.
Jizazi π€¦ββοΈWewe unayo bikra?
mkapiga sana maji aka mkojo wa mendeKuna mmoja tumesherehekea harusi yake mwaka jana kaolewa akiwa 40+ na sasa ana muonekano wa mama wa mtoto mtarajiwa. Hakuna formula kwa mawazo yangu mimi
KingiJizazi π€¦ββοΈ
Jizazi π€¦ββοΈ
πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈKingi
King wewe unayo?
Jizazi π€¦ββοΈ
ππππππππππββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Kwahiyo umeona future ya mjomba wangu sio umetumia kigezo gani kujua kuwa hatoweza mtunza mama yake? Hujui chochote kumuhusu yy umefeli mzee maisha hatufanani πShida ipo, atakapofisha miaka 60, mtoto wake mkubwa atakuwa na miaka 27, kijana wa miaka 27 kibongobongo atakuwa hana uwezo wa kumtunza babaye au mamaye
Sent using Jamii Forums mobile app