Ni sahihi Mwanamke kutimiza miaka 31 hajaolewa? Ukimuoa kuna faida hapo?

Sioi mwanamke zaidi ya 25 ...ilihali vitoto vipo,sitaki kununua gazette jioni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni sahihi mwanaume kutimiza miaka 31 bado anakula kwa mama na kwa mashemeji zake?
 
Mbona mnatutisha[emoji46]
maana wengine ikiingia 2021 tuna 28 tunakia tushavuka mpaka[emoji22]
Kama ni wewe unayeonekana kwa picha basi ukikosa ni matumizi mabaya ya uumbaji
 

Si hatari hii!?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…