Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Habari Wana JF
Huu mjadala nimeukuta mahali, nikaona ni vyema nikauleta huku nishee mawazo yenu.
Ni sahihi mwanaume kupaka manukato yenye kunukia sana?
Ni sahihi mwanaume kuoga mara tatu kwa siku?
Kwa upande wangu mimi haya manukato yamenikaa mbali.
Kila binadamu iwe ke/me ana uhuru wa kuchagua kile anacho kipenda, jamii zetu zimekuwa tofauti kidogo wapo wanaodhani anayestaili kunukia ni mwanamke tu.
Iwapo akipita mwanaume anayenukia humchukulia tofauti.
Huu mjadala nimeukuta mahali, nikaona ni vyema nikauleta huku nishee mawazo yenu.
Ni sahihi mwanaume kupaka manukato yenye kunukia sana?
Ni sahihi mwanaume kuoga mara tatu kwa siku?
Kwa upande wangu mimi haya manukato yamenikaa mbali.
Kila binadamu iwe ke/me ana uhuru wa kuchagua kile anacho kipenda, jamii zetu zimekuwa tofauti kidogo wapo wanaodhani anayestaili kunukia ni mwanamke tu.
Iwapo akipita mwanaume anayenukia humchukulia tofauti.