Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅 Sasa ndugu yangu, na wewe umeamua kufikiri kama mwenye nyumba wangu.sema ulikua unabadilisha mademu wa kila sampuli si wageni wa kike.
sema nini ?
kuna vojana mna mambo ya hovyo hovyo kweli mkipanga sehemu panageuka kua dangulo yaani wanawake wanapishana kama clinic vile tabia ambayo sio ya kistaraabu kabisa.
sina nyumba mjini hapa ila nikijenga halafu nikapangisha kijana akawa na mambo ya hovyo hovyo kama wewe nakuondoa chap.
ndio maana sehemu zingine ukienda kupanga swali la kwanza ni UMEOA ?
ili kuepusha mambo ya aibu kwenye mji.
Mwl wa nidhamu.Kwahiyo ulitaka mwenye nyumba akuchekee unavyokuwa unavusha?
Umepanga chumba cha kuishi au gesti?
😁😁😁 huo ndio uhalisia mi mwenyewe naijua hio😅😅😅 Sasa ndugu yangu, na wewe umeamua kufikiri kama mwenye nyumba wangu.