Na siku hizi unaweza kujenga kumpangisha kijana wa kiume, unashangaa wageni wake wa kiume kujakumfata fata, mashoga nao wanapanga, Kama ni nyumba yako si zarau hizo, na Bora kupangisha mke na mme Basi.
sema ulikua unabadilisha mademu wa kila sampuli si wageni wa kike.
sema nini ?
kuna vojana mna mambo ya hovyo hovyo kweli mkipanga sehemu panageuka kua dangulo yaani wanawake wanapishana kama clinic vile tabia ambayo sio ya kistaraabu kabisa.
sina nyumba mjini hapa ila nikijenga halafu nikapangisha kijana akawa na mambo ya hovyo hovyo kama wewe nakuondoa chap.
ndio maana sehemu zingine ukienda kupanga swali la kwanza ni UMEOA ?