Ni sahihi wanawake kuwapa uongozi au tunajipiga mtama sisi wenyewe..??

Ni sahihi wanawake kuwapa uongozi au tunajipiga mtama sisi wenyewe..??

Kuna tofauti gani kati ya Mkurugenzi mtendaji wa NMB na mkurugenzi mtendaji wa CRDB?

Siku tukifahamu kuwa tatizo linalotukwamisha ni namna viongozi wanavyopatikana tutakuwa tumepiga hatua.
Dadavua binti...
 
Kichwa cha habari hapo juu hakina lengo ya kudhihaki jinsia bali ni mada ambayo ningependa tuiangalie kwa mapana!..

Binafsi wanawake na uongozi hili jambo linanipa ukakasi zaidi nazungumzia uongozi ktk taasisi kubwa kubwa,ukakasi unanishika zaidi kutokana na hulka za hivi viumbe kitabia,mawazo yao n.k

Hawa viumbe ni mama zetu,dada,wake n.k lkn linapokuja swala la uongozi na wao abadani mi nakosa Imani,hii imechagizwa na hulka zao mbalimbali mfano;
Wanawake ni wepesi sana kwenye kufata mkumbo pasipo kuwa na fikra yakinifu!.. waweza hata kuangalia kwenye maswala ya Imani wanaweza kuamini vitu kwa urahisi sana (wepesi kurubunika) nafikiri wenzangu mwaweza kuwa mashuhuda kwenye hili hata kwenye mikutano ya hawa watu wanaojiita manabii wanawake ndio wamejazana sana na hata usione matokeo chanya wanapohudhuria kwa hao manabii zaidi ya Kila siku kujaziwa maji ya upako ndani..😂

Hawana tafakari za kina,wengi wao wanapenda vitu visivyo na utafakari kwa kina,fatilia hata humu ndani ukianzisha mada ya utafakari hii jinsia ya kike wengi wao hawatajihusisha nayo ila anzisha habari ya udaku watapaparukia kama nyuki wamepata mzinga mpya!.

Wepesi kukwazika kihisia..
Sifa Moja wapo ya kiongozi ni lazima awe na hulka ya kumudu hisia zake,ktk hili wanawake hawajaweza kufahuru!,si kifua wao hawana ye atakapotaka limtoke litamtoka,akitaka kulia atalia hata kama hapo hapastahili kulia!.
Sambamba na hilo hawa viumbe wanahuruma sana!,si dhambi kuwa na huruma ila lazima u balance!.

Ulimbukeni wa elimu na pesa..
Kusoma ndio wamesona lkn kutokana na kusoma huko wamepata viburi,vitu hivi viwili wao badala yakuvifanya kuwa fimbo ya kuchapia matatizo yao wao wamevifanya kuwa fimbo ya kuchapia watu/kuonyesha ujeuri/kujidai/kutambia/majivuna.. mbaya zaidi badala watumie elimu na pesa kujenga ndoa zao wao ndio imekuwa vitu vya kuwapatia kiburi na kuwatesa waume zao!.

Naturally Sina hakika kama mwanamke alifanywa kuwa kiongozi!,napata mashaka sana na vile walivyo ni kama watoto haijalishi kakuwa hadi kufika wapi!.. kwangu heshima yenu itabaki kuwa ileile ila sio kwenye maswala ya uongozi!!.
Nafikiri inahitaji hormones fulanifulani za kiume kwenye mwili wa kike ili angalau ku balance mambo na aweze kuwa na sifa za uongozi!.

Wewe mdau mwenzangu nini maoni yako..?
Je,unaona kama Mimi nilivyoona au Mimi kipofu..?
Uko sahihi kwa asilimia kubwa, mwanamme akipewa uongozi kiongozi halisi anakuwa ni mmewe au bwana/mpenzi/mchepuko wake
 
Kwenye kampuni yangu ndogo nimeshindwa kabsa kaajiri dada zetu kwa sababu ya udhuru kibao mara ujauzito, mara kitchen part ,mara sndoff , mara Leo tumbo linauma , kwa sisi nchi zinazoendelea tutachelewa sna katika kufanya maamuzi magumu , ilipaswa wanaume tusafishe njia kwanza ata hawa dada zetu wakishika hatamu wapite kwenye njia lain .
 
Ni kweli asee

Tatizo ukiwaambia hvo vitu hawataki kuamini kwakuwa wanahisi kama tunawadharau na lazma wapinge ili kutaka kuketa balance kwao,

Ila kiuhalisia mwanamke hastahili kupewa Uongozi
 
Kichwa cha habari hapo juu hakina lengo ya kudhihaki jinsia bali ni mada ambayo ningependa tuiangalie kwa mapana!..

Binafsi wanawake na uongozi hili jambo linanipa ukakasi zaidi nazungumzia uongozi ktk taasisi kubwa kubwa,ukakasi unanishika zaidi kutokana na hulka za hivi viumbe kitabia,mawazo yao n.k

Hawa viumbe ni mama zetu,dada,wake n.k lkn linapokuja swala la uongozi na wao abadani mi nakosa Imani,hii imechagizwa na hulka zao mbalimbali mfano;
Wanawake ni wepesi sana kwenye kufata mkumbo pasipo kuwa na fikra yakinifu!.. waweza hata kuangalia kwenye maswala ya Imani wanaweza kuamini vitu kwa urahisi sana (wepesi kurubunika) nafikiri wenzangu mwaweza kuwa mashuhuda kwenye hili hata kwenye mikutano ya hawa watu wanaojiita manabii wanawake ndio wamejazana sana na hata usione matokeo chanya wanapohudhuria kwa hao manabii zaidi ya Kila siku kujaziwa maji ya upako ndani..[emoji23]

Hawana tafakari za kina,wengi wao wanapenda vitu visivyo na utafakari kwa kina,fatilia hata humu ndani ukianzisha mada ya utafakari hii jinsia ya kike wengi wao hawatajihusisha nayo ila anzisha habari ya udaku watapaparukia kama nyuki wamepata mzinga mpya!.

Wepesi kukwazika kihisia..
Sifa Moja wapo ya kiongozi ni lazima awe na hulka ya kumudu hisia zake,ktk hili wanawake hawajaweza kufahuru!,si kifua wao hawana ye atakapotaka limtoke litamtoka,akitaka kulia atalia hata kama hapo hapastahili kulia!.
Sambamba na hilo hawa viumbe wanahuruma sana!,si dhambi kuwa na huruma ila lazima u balance!.

Ulimbukeni wa elimu na pesa..
Kusoma ndio wamesona lkn kutokana na kusoma huko wamepata viburi,vitu hivi viwili wao badala yakuvifanya kuwa fimbo ya kuchapia matatizo yao wao wamevifanya kuwa fimbo ya kuchapia watu/kuonyesha ujeuri/kujidai/kutambia/majivuna.. mbaya zaidi badala watumie elimu na pesa kujenga ndoa zao wao ndio imekuwa vitu vya kuwapatia kiburi na kuwatesa waume zao!.

Naturally Sina hakika kama mwanamke alifanywa kuwa kiongozi!,napata mashaka sana na vile walivyo ni kama watoto haijalishi kakuwa hadi kufika wapi!.. kwangu heshima yenu itabaki kuwa ileile ila sio kwenye maswala ya uongozi!!.
Nafikiri inahitaji hormones fulanifulani za kiume kwenye mwili wa kike ili angalau ku balance mambo na aweze kuwa na sifa za uongozi!.

Wewe mdau mwenzangu nini maoni yako..?
Je,unaona kama Mimi nilivyoona au Mimi kipofu..?
Mwendazake nae alikua anatumia hisia je unamlinganisha na huyu wa sasa??
Hapo vip??
 
Kwenye kampuni yangu ndogo nimeshindwa kabsa kaajiri dada zetu kwa sababu ya udhuru kibao mara ujauzito, mara kitchen part ,mara sndoff , mara Leo tumbo linauma , kwa sisi nchi zinazoendelea tutachelewa sna katika kufanya maamuzi magumu , ilipaswa wanaume tusafishe njia kwanza ata hawa dada zetu wakishika hatamu wapite kwenye njia lain .
Umo umoo mkuu waskulegeze ushindwe kushikilia bomba
 
Bro had dini zinazungumza alaf those fvcking honourables wanapindisha, SH!T
 
Kuomba omba kwa viongozi wa AFRIKA ndipo kumetufikisha hapa.

Utamaduni wetu umevurugwa na hii kitu wanasema USAWA WA KIJINSIA.. Mila na tamaduni za Afrika ni mwanamke hawezi kumwongoza mwanaume.
 
Kwa mtazamo wangu wanaweza, but tukiacha kuingiza vitu vya kike sana katika uongozi. Kuwe na mipaka ya kazi na tabia zetu za kike.
Kuna ile ndiyo kateuliwa hiyo nafasi, basi ndiyo mtanijua mimi ni nani hapa.

Tukiweza kutenganisha yale mambo ya kike, tukajikita katika kuongoza kwa usawa na haki. Tutakuwa na viongozi bora wanawake. Sisi wanawake tuna matatizo yetu, wengi huyapeleka mpaka sehemu ya kazi. Nina mifano...
 
Kwenye kampuni yangu ndogo nimeshindwa kabsa kaajiri dada zetu kwa sababu ya udhuru kibao mara ujauzito, mara kitchen part ,mara sndoff , mara Leo tumbo linauma , kwa sisi nchi zinazoendelea tutachelewa sna katika kufanya maamuzi magumu , ilipaswa wanaume tusafishe njia kwanza ata hawa dada zetu wakishika hatamu wapite kwenye njia lain .
Hivi ndio vizuri ili ukweli ujulikane.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom