Ni sawa kiongozi wa dini kubariki vita au wanajeshi wanaoenda kupigana?

Ni sawa kiongozi wa dini kubariki vita au wanajeshi wanaoenda kupigana?

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Screenshot_2022_0403_155545.jpg


Katika nchi hii, watu wananen kati ya kumi sawa na (78%) wanajitambulisha kuwa Waorthodox.

Lakini uvamizi ulioongozwa na Vladimir Putin - ambaye, kwa bahati mbaya, ameharibu mamia ya makanisa kwa mashambulizi yake ya angani - ultikisa nguvu ya UOC-MP.

Hali ilikuwa tete baada ya mzalendo wa Moscow, Kirill, kulaani vitendo vya kijeshi. Badala yake, alibariki askari wa Urusi na, hadi sasa, hajatoa wito wa kusitishwa kwa mapigano.

Hii ni kwa sababu kauli hiyo ilitoka kwa mwakilishi mkuu wa Kanisa la Orthodox la Urusi ni mshirika wa zamani wa Putin. Uhusiano wao wa karibu ulimfanya Mnamo 2012, kusema kuwa serikali yaKR ilikuwa "muujiza wa Mungu

BBC Swahili ☝️
Hakika ni wakati muafaka dunia kujua wafuasi wa kweli wa Yesu
 
Viongozi wa dini wamekuwa wakibariki vita tokea enzi hizo. BC......

Ova
 
Ata kwa wa Ijumaa viongozi wa dini walikua mstari wa mbele vitani
 
Siyo dhambi.

Ukiwa mtu wa dini kujitetea kupinga kunyanyaswa na kunyang'anywa mali zako halali ni dhambi?
 
Ukute hayo mamia ya makanisa yaliyoangamizwa huku Ukreine ni yale yanayofungisha ndoa za wasenge kanisani.
 
Unakuta askofu wa kanisa moja. Wa Ukraine anapinga vita, yule wa Urusi anasapoti.
 
Siyo dhambi.

Ukiwa mtu wa dini kujitetea kupinga kunyanyaswa na kunyang'anywa mali zako halali ni dhambi?
Yesu alisema usilipe ubaya kwa ubaya,ye mwenyewe hakufanya hivyo
 
Minaona sawa tu, maana hata kisu kina kata lakini hakina diwani...😎
 
Kwenye maandiko gani? Ya kiebrania au kigiriki?
Kumbukumbu la Torati 20:16-18
Utokapo kwenda vitani kupigana na adui zako, na kuona farasi, na magari, na watu wengi kuliko wewe, usiwaogope; kwa kuwa Bwana Mungu wako, yu pamoja nawe, aliyekukweza kutoka nchi ya Misri.
 
Yesu alisema usilipe ubaya kwa ubaya,ye mwenyewe hakufanya hivyo
Unakumbuka tukio la Yesu mwenyewe kumwaga vitu vya watu sokoni?

Kila kitu kina namna yake. Nenda Kanisa lolote kabebe sadaka zao halafu ukimbie nazo uone nini utafanywa.

Au nenda msikitini kabebe viatu vya watu pale nje, ndiyo utaelewa [emoji23][emoji23][emoji23]

Mungu mwenyewe sidhani kama anapenda watu wanyonge.


Kama wewe mwenyewe huwezi kujitetea, utaweza kumtetea Mungu unayemuabudu??
 
Unakumbuka tukio la Yesu mwenyewe kumwaga vitu vya watu sokoni?

Kila kitu kina namna yake. Nenda Kanisa lolote kabebe sadaka zao halafu ukimbie nazo uone nini utafanywa.

Au nenda msikitini kabebe viatu vya watu pale nje, ndiyo utaelewa [emoji23][emoji23][emoji23]

Mungu mwenyewe sidhani kama anapenda watu wanyonge.


Kama wewe mwenyewe huwezi kujitetea, utaweza kumtetea Mungu unayemuabudu??
Kama unawapenda majirani zako utawaibia?
 
Back
Top Bottom