Kertel
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 5,425
- 5,227
Kuna mahudhurio zaidi ya matatu,mume anaweze kuambatana na mkewe kwenye hudhurio lolote.Eti barua ya mwenyekiti wa mtaa,utaratibu huo umeanishwa wapi?Mkono mtupu haulambwi..
Penyeza ka rupia.
Lkn ukitaka kufata utaratibu utatakiwa uje na barua ya mwenyekiti wa mtaa.
Tofaut na hapo nenda kaanze clinic kwenye private hosp. Wao wanaangalia noti