Ni sawa! Shake well b4 use?

Ni sawa! Shake well b4 use?

hiyo ya kulazimisha "ushahidi" kabla ya ndoa ndio
maana watu wanapewa watoto si wao hala ghafla
wanaaza kulalamika "ooh tukampime kabebi dna".

 
Habari JF
Siku za hv karibuni nimekuwa active member wa vikao vya harusi. Si unajua tena unapokuwa na vijana wa miaka 20 na kuendelea kuwekeza kwenye hii saccoss ni muhimu! Haya bana ndo hivyo!
Kilichonishangaza humu ni kila maarusi takribani 5 hv kwa mwaka huu woooooooote walikuwa tayari wako 3. Yaani Baba, Mama na Kichanga chao. Nilipodadisi nikaambiwa siku hizi ni SHAKE WELL BEFORE USE. Ikabidi nianze kutafuta maana halisi maana ningeuliza palepale wangeniona huyu wa LONG TIME nini! Kumbe jamaa siku hizi wanaangalia kaa mamsap anaouwezo wa kuijaza dunia. Je ni sawa hivyo?

ni makubaliano ya watu wote wawili kufanya hivyo.sijui kwa nini mnachukulia kuwa na ujauzito siku ya harusi au kabla ya harusi ni jambo la aibu especially kwa mwanamke?????mie nikikubali kuduuu mtu asinihoji mimba yangu siku ya harusi.nimefanya kwa hiari yangu sikulazimishwa LOL:redfaces:
 
This is intriguing...I definitely can see both sides of the argument. But then again, ain't love supposed to be unconditional? Maybe yes, maybe no. It just depends.
 
hahahaha!kazi ipo wacha niende utawa mie!
Kushake kupo lkn mpaka mtoke na ushahidi kanisani jamani!!!

UTAWA!!!!!!!!!!! Mimi hata sikuelewi anyway kuna kachumba kadogo hapa home unaweza kuja kuwa mtawa wife akisafiri itanoga zaidi
 
Maamuzi tu...kama wenyewe wamekubaliana wengine haiwahusu!
 
Back
Top Bottom