Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Hii imekaaje?
Hili ni swali ambalo mwanangu huyu mdogo kaniuliza, kwa muda nimekuwa nikimsimulia kuhusu HipHop na kumwaminisha kuwa ni muziki wa maisha halisi na mara nyingi huhimiza upendo.
Basi leo yamenishuka, sijui kaniotea vipi.
Ni hivi:
Kina AY na Fid Q tunaweza kusema ni kizazi kile cha Profesa Jei.
Wakati huu mwenzao yupo hoi kitandani kupigania afya yake, hawa wengine wote kwa pamoja wametoa 'Club Bangers'. Kwanza sio watu wa kutoa ngoma kila wakati, kwanini muda huu?
Na mbona isiwe nyimbo fulani za majonzi au faraja kwa lijendi mwenzao?
Dogo kaniacha na maswali mengi, binafsi imenistua.
Get well soon Jay, Mchawi wa rhymes Mti Mkavu.
Hili ni swali ambalo mwanangu huyu mdogo kaniuliza, kwa muda nimekuwa nikimsimulia kuhusu HipHop na kumwaminisha kuwa ni muziki wa maisha halisi na mara nyingi huhimiza upendo.
Basi leo yamenishuka, sijui kaniotea vipi.
Ni hivi:
Kina AY na Fid Q tunaweza kusema ni kizazi kile cha Profesa Jei.
Wakati huu mwenzao yupo hoi kitandani kupigania afya yake, hawa wengine wote kwa pamoja wametoa 'Club Bangers'. Kwanza sio watu wa kutoa ngoma kila wakati, kwanini muda huu?
Na mbona isiwe nyimbo fulani za majonzi au faraja kwa lijendi mwenzao?
Dogo kaniacha na maswali mengi, binafsi imenistua.
Get well soon Jay, Mchawi wa rhymes Mti Mkavu.