Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
- Thread starter
- #41
Mkuu labda unashindwa kuelewa kwa sisi hadhira mziki ni starehe na viburudisho,lakini kwa wasanii ni kazi au ajira.Ni sawa we uache kufanya kazi ya kukuingizia kipato kisa mfanyakazi mwenzako anaumwa kalazwa.
Wasanii makini hutoa ngoma zenye maudhui kuendana na nyakati, mbona wakati mwenzao anapigania roho yake wao wanatoa club bangers.!