Ni sawa Wasanii kutoa ngoma za "ku-party" wakati Profesa J yuko hoi Muhimbili?

Ni sawa Wasanii kutoa ngoma za "ku-party" wakati Profesa J yuko hoi Muhimbili?

Yaani watu waache kutoa ngoma kisa mtu mwingine anaumwa we kia.zi kweli,kwani anumwa malaika?akikaa miaka mitano kitandani watu wasitoe ngoma?
 
Kumjulia hali huenda wanaenda, kama inaruhusiwa…. hiyo sio lazima waposti.
Uenda unasema pasipo uhakika, hakuna anayekataliwa kwenda na ukitaka kutoa chochote kitu wanapokea, namba zipo wazi mpaka Gmail yake.
 
Hii imekaaje?

Hili ni swali ambalo mwanangu huyu mdogo kaniuliza, kwa muda nimekuwa nikimsimulia kuhusu HipHop na kumwaminisha kuwa ni muziki wa maisha halisi na mara nyingi huhimiza upendo.

Basi leo yamenishuka, sijui kaniotea vipi.

Ni hivi:
Kina AY na Fid Q tunaweza kusema ni kizazi kile cha Profesa Jei.

Wakati huu mwenzao yupo hoi kitandani kupigania afya yake, hawa wengine wote kwa pamoja wametoa 'Club Bangers'. Kwanza sio watu wa kutoa ngoma kila wakati, kwanini muda huu?

Na mbona isiwe nyimbo fulani za majonzi au faraja kwa lijendi mwenzao?

Dogo kaniacha na maswali mengi, binafsi imenistua.

Get well soon Jay, Mchawi wa rhymes Mti Mkavu.
Mkuu labda unashindwa kuelewa kwa sisi hadhira mziki ni starehe na viburudisho,lakini kwa wasanii ni kazi au ajira.Ni sawa we uache kufanya kazi ya kukuingizia kipato kisa mfanyakazi mwenzako anaumwa kalazwa.
 
Nyi ndio watu wenyewe, watu tusinywe bia zetu kisa Magu kafa. Kwani tulikuwa tunagawana mishahara? Wabongo sijui ukuda mtaacha lini! Kila mtu na biashara zake, tusipangiane mingo
 
Yaan ulitaka wakae na majonzi muda as if juna msiba? Kwaivo shughuli za utafutaji zisimame kisa mwana anaumwa, mbona mkewe alipata nguvu ya kuongea kwenye media yeye haukusema
 
Serikali inamlipia matibabu ,acha wenzake nao watoe nyimbo wapate pesa za kuendeshea maisha yao
 
Hii imekaaje?

Hili ni swali ambalo mwanangu huyu mdogo kaniuliza, kwa muda nimekuwa nikimsimulia kuhusu HipHop na kumwaminisha kuwa ni muziki wa maisha halisi na mara nyingi huhimiza upendo.

Basi leo yamenishuka, sijui kaniotea vipi.

Ni hivi:
Kina AY na Fid Q tunaweza kusema ni kizazi kile cha Profesa Jei.

Wakati huu mwenzao yupo hoi kitandani kupigania afya yake, hawa wengine wote kwa pamoja wametoa 'Club Bangers'. Kwanza sio watu wa kutoa ngoma kila wakati, kwanini muda huu?

Na mbona isiwe nyimbo fulani za majonzi au faraja kwa lijendi mwenzao?

Dogo kaniacha na maswali mengi, binafsi imenistua.

Get well soon Jay, Mchawi wa rhymes Mti Mkavu.
mwenzao yuko hoi,wao wanatumia pesa kuchapisha tshirt za no case to answer na valentine ya mbowe. na sio muda walichangisha watanzania pesa za matitabu, kumbe wanazo za kutengenezea tshirt za no case to answer.
 
Watoe ngoma wasitoe, hatujasikia kwenda kumjulia Hali, karibia wasanii wote.
ICU haiingii mtu ....kwenda wanaenda wanaishia kuonana na mkewe...
Au unataka mapicha picha....kifupi hamna show off muhi2 na hairuhusiwi
 
Hii imekaaje?

Hili ni swali ambalo mwanangu huyu mdogo kaniuliza, kwa muda nimekuwa nikimsimulia kuhusu HipHop na kumwaminisha kuwa ni muziki wa maisha halisi na mara nyingi huhimiza upendo.

Basi leo yamenishuka, sijui kaniotea vipi.

Ni hivi:
Kina AY na Fid Q tunaweza kusema ni kizazi kile cha Profesa Jei.

Wakati huu mwenzao yupo hoi kitandani kupigania afya yake, hawa wengine wote kwa pamoja wametoa 'Club Bangers'. Kwanza sio watu wa kutoa ngoma kila wakati, kwanini muda huu?

Na mbona isiwe nyimbo fulani za majonzi au faraja kwa lijendi mwenzao?

Dogo kaniacha na maswali mengi, binafsi imenistua.

Get well soon Jay, Mchawi wa rhymes Mti Mkavu.
Hivi Jay anaumwa nini, tumsaidie alternatively
 
Hii imekaaje?

Hili ni swali ambalo mwanangu huyu mdogo kaniuliza, kwa muda nimekuwa nikimsimulia kuhusu HipHop na kumwaminisha kuwa ni muziki wa maisha halisi na mara nyingi huhimiza upendo.

Basi leo yamenishuka, sijui kaniotea vipi.

Ni hivi:
Kina AY na Fid Q tunaweza kusema ni kizazi kile cha Profesa Jei.

Wakati huu mwenzao yupo hoi kitandani kupigania afya yake, hawa wengine wote kwa pamoja wametoa 'Club Bangers'. Kwanza sio watu wa kutoa ngoma kila wakati, kwanini muda huu?

Na mbona isiwe nyimbo fulani za majonzi au faraja kwa lijendi mwenzao?

Dogo kaniacha na maswali mengi, binafsi imenistua.

Get well soon Jay, Mchawi wa rhymes Mti Mkavu.
Kama utaweza walipia bills , itakuapoa sana , wataacha kzi na kuanza tunga nyimbo za huzuni kwa mtu aliye hai
 
Yaan ulitaka wakae na majonzi muda as if juna msiba? Kwaivo shughuli za utafutaji zisimame kisa mwana anaumwa, mbona mkewe alipata nguvu ya kuongea kwenye media yeye haukusema

Kuongea kwenye media ni kuomba msaada.

Shughuli za utafutaji ni muhimu ziendelee, ila kuna namna yenye inayofaa….. hata kwa nyimbo ni sawa ila sio hizi za ku-bang..!!
 
Back
Top Bottom