Ni sawa Watumishi kukatwa kwenye zoezi la Sensa 2022

Haijawahi kufutwa!! Vibarua bado wapo.
 
Mie mtumishi na jina langu limetoka kwenye msimamizi wa maudhui.

Bahari njema nipo tayari kwenye mafunzo ngazi ya Mkoa, nitawafundisha hawa wa chini.
 
Wenye bahati zetu, majina yametoka.
 
Ndio kakatwa muhudumu wa afya analia uku balaa sambuse Mwalimu
Kila mtu anahitaji Hela! Hakuna aliyewahi kutosheka . .... Ndio sababu jero inasababisha roho ya mtu kunyofolewa kwa bisu !!!
 
Kila mtu anahitaji Hela! Hakuna aliyewahi kutosheka . .... Ndio sababu jero inasababisha roho ya mtu kunyofolewa kwa bisu !!!
Money is everything in this world
 
Wanakata majina ya watumishi??

Hawa vijana wa form 4 ni vijana wa mwendokasi, bado hawajakomaa kufanya kazi nyeti Kama hizi.

Watafeli Kama walivyofeli kwenye anwani za makazi hadi ikafikia watendaji wa vijiji wakawa ndio mawakala wa kuweka anwani za makazi
 
Usiseme watumishi Bali sema walimu..🤗
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…