Ni sehemu gani Dar affordable kuanzisha maisha ukiwa na familia yako?

Mtu Yuko serious alafu watu wanaleta masihara jamiiforum pamekua sehemu pa mzaha na masihara ya kitoto sio sehemu ya kupata msaada
Umeshasema jamii hapo tegemea watu wa aina zote vichaa, wendawazimu, mazuzu, majini, wachawi, wenye akili timamu, wachamungu, matapeli nk, nk
 
Inategemea na mishe mishe zako! Kama wewe ni fundi ujenzi basi chagua kukaa pembezoni mwa mji ndipo gharama za maisha zipo chini...Kama umeajiriwa ofisi town basi kaa Mbezi ya Kimara.
 
Kuliko kukaa hayo maeneo Bora nikakae mkoani
 
Affordability ni function ya uwezo wako kifedha
 
Tandale ama Buguruni ila uwe na ujasiri wa kukabiliana na Uswahili. Ukienda maeneo mengine utajuta. Tandale ni karibu na Posta na Muhimbili ni sawa na Buguruni ilivyokaribu na Kariakoo na Posta na Muhimbili. Urahisi wa maishi ni kutokana na vitongoji hivi kuwa na masoko ya vyakula sawa na bure. Pia Buguruni kuna huduma ya kupona hamu ya ngono kirahisi na gharama ipo chini sawa na Tandale Uwanja wa Fisi.
 
Mh bomba2 usipende utajuta sana msimu wa mvua, magari hayafiki huko halafu barabara zote zimejaa maji kama si kupata chemchema ndani ndani ya nyumba
 
Swali lako ni mtambuka kwa kuwa kuishi maisha affordable kuna factor nnyingi za msingi kuangalia. Mathalani unaweza kupata nyumba ya bei rahisi kupanga ila gharama za maisha kwa maana ya nauli na mahitaji mengine ya muhimu ikawa juu.
Kwa mantiki hiyo ni lazima tufahamu aina ya shughuli zako ili tukushauri accordingly!
 
Kwa Mpalange
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…