tajiri tumbo kubwa
JF-Expert Member
- May 27, 2021
- 429
- 567
Natarajia mko salama wakuu na wanajamii forum. Niko na swali ambalo natarajia hapa ni pahari pazuri pa kupata jibu, sasa nataka kuwekeza kiwanda au viwanda vya kutengeneza juices, toka mananasi.
Maembe na machunga na pia matunda mengine kama passion fruits and mapapai, sasa swali langu ni hili, hapa Tanzania ni sehemu gani naweza pata kilimo cha hizo matunda, yaani kama ni mananasi wapi wilaya gani nanasi zinapatikana kwa wingi, maembe hivyo hivyo,
Machungwa hivyo hivyo, hope munanielewa wakuu na pia mimi naweza pia fanya kilimo cha hayo matunda, yaani nalima na pia nakuwa na wakulima yaani wale tunaita outgrowers, nawapa mbegu na vitu kama hizi wakiwa tayari hayo matunda wananiuzia katika kampuni yangu au kiwanda changu, natanguliza shukrani kwenu.
Asanteni sana, huko nasubiri majibu.
Maembe na machunga na pia matunda mengine kama passion fruits and mapapai, sasa swali langu ni hili, hapa Tanzania ni sehemu gani naweza pata kilimo cha hizo matunda, yaani kama ni mananasi wapi wilaya gani nanasi zinapatikana kwa wingi, maembe hivyo hivyo,
Machungwa hivyo hivyo, hope munanielewa wakuu na pia mimi naweza pia fanya kilimo cha hayo matunda, yaani nalima na pia nakuwa na wakulima yaani wale tunaita outgrowers, nawapa mbegu na vitu kama hizi wakiwa tayari hayo matunda wananiuzia katika kampuni yangu au kiwanda changu, natanguliza shukrani kwenu.
Asanteni sana, huko nasubiri majibu.