Ni sehemu gani nzuri ya Kuficha 'Pochi' yako Chumbani 'Gesti' ukiwa umemnunua 'Malaya' wa Kulala nae hadi Asubuhi ili asikuibie?

ANGALIZO

Tafadhali Mleta Mada ( Uzi ) GENTAMYCINE siyo 'Mnunuaji' wa hao 'Malaya', ila hapa nawasilisha tu 'Malalamiko' ya 'Wanunuaji' wengi ambao huwa nina bahati ya Kukutana nao mara nyingi.

Pochi na vitu vya thamani unaviacha Kaunta..Ova.
 
ANGALIZO

Tafadhali Mleta Mada ( Uzi ) GENTAMYCINE siyo 'Mnunuaji' wa hao 'Malaya', ila hapa nawasilisha tu 'Malalamiko' ya 'Wanunuaji' wengi ambao huwa nina bahati ya Kukutana nao mara nyingi.
kwenye pochi yake 😁 😁 ...... au mpe akushikie lakini pia anza kuwalipa kwa kutumia mitandao ya simu itakufanya usitembeena cash
 
Huyu mwamba apewe ulinzi, huku kikao cha dharura kikiitishwa rasmi Kwa ajili ya kumjengea sanamu yake pale Kimboka by Night
 
Unamwita mhudumu anawafungia ndani ..mkitaka kutoka unampigia simu anakuja kuwafungulia mlango
 
ANGALIZO

Tafadhali Mleta Mada ( Uzi ) GENTAMYCINE siyo 'Mnunuaji' wa hao 'Malaya', ila hapa nawasilisha tu 'Malalamiko' ya 'Wanunuaji' wengi ambao huwa nina bahati ya Kukutana nao mara nyingi.
Angaliazo: usinyonye chuchu utasinzia mpaka kesho jioni kisha atabeba kila kitu.
 
Waleti inawekwa kwenye godoro chini akiitoa lazima akuamshe kwa kuinua godoro
 
Kwenye suruali sehemu ya kuwekea mkanda chukua kiwembe chana space ndogo ya kupitishia pesa kisha rudishia belt yako hapo utakua umemaliza.
 
ANGALIZO

Tafadhali Mleta Mada ( Uzi ) GENTAMYCINE siyo 'Mnunuaji' wa hao 'Malaya', ila hapa nawasilisha tu 'Malalamiko' ya 'Wanunuaji' wengi ambao huwa nina bahati ya Kukutana nao mara nyingi.
Hii ban itakuwa inakuchoma moyo,,safi sana mods
 
Ukishafunga mlango na ufunguo
Chukua ufunguo halafu nyenyua mguu mmoja wa kitanda uweke huo ufunguo chini ya mguu wa kitanda
Note sio uvunguni ni chini ya mguu wa kitanda
 
Izungushie nailoni nenda chooni funua lile dude linalohifadhi maji ya kuflashia tumbukiza humo. Hilo ni eneo salama hata kutunzia bastola kisu na.silaha nyingine kwa anili ya dharula.
Naomba nipite hivi
Duuuuh ngumu kumeza.
 
Nzuri, Alhamdulillah namshukuru mwenye-ez-Mungu. Wajua nini mkuu, napenda sana siku moja nikutane na wewe kama hutajali, hakika wewe ndie mtu ninaevutiwa nae zaidi humu Jf.
Mungu akijaalia tutaonana 🙏

Asante sana kwa kunikubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…