Ni sehemu gani nzuri ya Kuficha 'Pochi' yako Chumbani 'Gesti' ukiwa umemnunua 'Malaya' wa Kulala nae hadi Asubuhi ili asikuibie?

Ni sehemu gani nzuri ya Kuficha 'Pochi' yako Chumbani 'Gesti' ukiwa umemnunua 'Malaya' wa Kulala nae hadi Asubuhi ili asikuibie?

ANGALIZO

Tafadhali Mleta Mada ( Uzi ) GENTAMYCINE siyo 'Mnunuaji' wa hao 'Malaya', ila hapa nawasilisha tu 'Malalamiko' ya 'Wanunuaji' wengi ambao huwa nina bahati ya Kukutana nao mara nyingi.
Pasua mto unaoulalia weka katikati kabisa kisha rudishia folonya ya mto huo. Hapa chukua room mapema na uwe umeshaanda mazingira hayo. Kingine toa pesa na vitu vyote vya thamani kwenye pochi vifunge kwenye ncha ya neti pochi iache mezani utakua umemuingiza mkenge.
 
Najuta hata Kuanzisha Uzi huu ( Mada hii ) kwani najua nitazitesa sana Mbavu zangu kwa Kucheka kwa Majibu ya Watu ( Members ) ambao naanza Kuhisi ni Wadau ( Wabobezi ) wakubwa wa 'Kubai' Madanga ( Malaya ) Mjini hapa.
Mbona kawaida tu inafanyika pote duniani au we wa wapi
 
Ingia na kamba mfukoni ukifika room ingia toilet kisha funua mfuniko wa tank la maji ya flash ifunge ining'inie kisha rudishia mfuniko vizuri,kisha sahau shida za dunia
 
Mbinu nyingi hapa zitaingiza watu mkenge.
kama hii ya kuweka kwenye flashing tank, nguo za mdada au pochi yake, ni za kitambo sana kiasi hata wasionunua wadada poa wanazijua, sasa sembuse dada poa ambaye yupo kwenye biashara miaka 5+ na anakutana na watu wa kila namna.

Bora ya kuacha vitu counter au kuweka kitanda mlangoni. The best way, is leave your belongings outside the room.
 
Sogeza kitanda mlangoni akitaka kutoka anakivuta unaamka.
 
Izungushie nailoni nenda chooni funua lile dude linalohifadhi maji ya kuflashia tumbukiza humo. Hilo ni eneo salama hata kutunzia bastola kisu na.silaha nyingine kwa anili ya dharula.
Naomba nipite hivi
Kuna bwana mmoja alificha hivyohivyo nyama ya sink la choo chumba cha ghorofani upande wa barabarani kadirisha kako wazi asubuhi anasikia kelele kuchungulia watu wanagombania hela

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
ANGALIZO

Tafadhali Mleta Mada ( Uzi ) GENTAMYCINE siyo 'Mnunuaji' wa hao 'Malaya', ila hapa nawasilisha tu 'Malalamiko' ya 'Wanunuaji' wengi ambao huwa nina bahati ya Kukutana nao mara nyingi.
Acha hapo reception
 
Back
Top Bottom