[emoji16][emoji16] Kule chisenyi kuna pisi yangu kali sana
Vijiji vingi Dodoma havifai kuishi binadamu.
Nimefika huko aisee miaka flani kwa mguuKiboriyani ukifika mpwapwa jkt unapandisha juu huko milimani aisee huko watu wanalima bangi tu na mahindi.
Nenda Capripoint uone. Kiwanja unauziwa ml 200 na ni juu ya milima na kuna mihekalu ya kufa mtu Mwanza nzima hamna.Mimi ni mwenyehi sana japo kwenye mawe ni mgeni kabisa na sijawahi shawishika kukaa huko juu maana kwa haraka haraka tu ni kwa watu masikini sana kwa hali ya nyumba wanazoishi. Pia mtu mwenye pesa hawezi jenga huko
Ushakaa Mwanga na Same ukaona pa Ovyo? Asilimia kubwa vijiji vyao vina huduma muhimu tokea zamani, kushinda hata Dar es salaamUkifika siha na hai Barbara ya kwenda merarani hutatamani
Pia same na mwanga ni pa hovyo mno
Naju sana hata mimi napapenda sana na ninapafahamu sana almost kila kona ila kuishi huko milimani mabatinì, igogo, bugando huko nyuma isamilo etc huko kwenye mawe dah siwezi hata bure. Kama mtu una pesa ishi kwenye mawe kama ya capripoint huko kwingine hapanaPole sana Mwanza ndio ya pili kwa Dar kwa uwingi wa magari hapa Tz.
Capripoint huwezi pata kiwanja cha mil 200 sasa hivi hakipo ni kuanzi 400 na kuendelea.Nenda Capripoint uone. Kiwanja unauziwa ml 200 na ni juu ya milima na kuna mihekalu ya kufa mtu Mwanza nzima hamna.
Kama wana hela basi ujue ndio walichokifuata huko chaka.Bora hata mpanda, kuna mahali panaitwa MAJIMOTO aisee huko nilipoenda nilijiuliza qatu wamefuata nini, na wengi wao ni wasukuma kule...Ajabu ni kwamba they are making money ile hatari. Ni matajiri wa kutupwa kutokana na kilimo ufugaji na madini.
Siku moja niko na jamaa yangu tunatafuta mashamba ya kukodi ya alizeti tulikua na mwenyeji anatutembeza mashambani. Mchana tunataka kurudi mwenyeji akatuambia twende kwanza kwake tule ndio tuondoke. Tukaona si mbaya.
Tumefika tukaenda sebuleni Chakula kikaja nikasahau kabisa kama Chakula chao kikuu ni mlenda.
Bwana bwana ulikuja ugali mgumu na mlenda mimi nilikua sijawahi kula mlenda wala ugali wa mtama[emoji28]
Nilihangaika mwenye ananiambia mbona hauli au chakula kibaya? Mimi naguna guna tu[emoji23], nilishwindwa kula aisee ilibidi nikaupiga picha hii hapa chini.
Yaani utadhani unakula hina. Watu wanawakiwa na jua huko ndio maana miguu yao imekomaa halafu myembamba kama mianzi imechomekwa kwenye mapaja [emoji125][emoji125]View attachment 2379797
Kilimanjaro so far sijaona maeneo yake yakitajwa.
Hapo unakuta hamna vyoo, wanamalizia haja zao makazini/mjini, nyumba za IbadaMwanza miambani wananoishi watia huruma sana japo wao wanaona wamepata viwanja city centre.
Huwa najiuliza walishindwaje kuweka makazi Usagara, Misungwi na Magu badala ya kubanana kwenye mawe kama mijusi ambako kupanda ni shida na inaweza kuchukulia lisaa kwenda sehemu unayoiona kwa mbele tu hapo.
View attachment 2378247
Kule pazuri sana vijiji vipo juu ya milima ukiwa juu kule unapaona vzr mpwapwa,kongwa,kibaigwa na gairoNimefika huko aisee miaka flani kwa mguu
Kawaaida kweny harakati za utafutaji lzm uzame deep ndanindani kusaka madiniWewe utakuwa BAHARIA
hahahaha wanalima tumbaku, wilaya yenyewe ya mlele iko pori ilunde iko porini mara 9 yakeIlunde Wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi. Kijiji kipo Porini, Kilomita 70 toka makao makuu ya Wilaya ya Mlele. Hakuna network wala nini na ni Porini hasa. Sijui walifuata nini kule.
Tukuyu maisha ni rahisi mno ila pesa ndo hakuna, maeneo kama ushirika, kyimbila, ibolelo, segera, mwakaleli, mpuguso, lusungo kote bila kusahau shamba la chai chivanjeWatu wanaokaa tukuyu,mwakaleli,katumba kule mbeya, asee wana moyo sana, ni kama watu wanaoishi Dar alafu kipato ni dollar moja.
Rwanda inaingia karibu mara sitaTanzania hii ni kubwa sana nashangaa watu kujilinganisha na Rwanda, na Kenya kimaendeleo wakati hizo nchi zinaingia mara mbili kwa Tanzania
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kondoa sio pa mchezo, ila wanapenda kamati balaaPahi,Saralee,Mauno,Bumbuta.. Kondoa hiyo aisee watu wa kule wana dhiki mno sijui kwanini wanang'ang'ana kukaa sehemu kame na ya hovyo kame ile.
Kwani ulitaka aseme anaishi wapi?Halafu huwa wana mbwembwe hao....akiwa vijijini kwao huko akiulizwa hivi flani huwa unaishi wapi? Anajibu kwa madaha mwanza😂😂