[emoji23][emoji23][emoji23] napajuaBarabara ya kwenda Kilimanjaro nahisi ni wilaya ya Same Kuna nyumba moja nzuri tu imejengwa kwenye mlima kabisa ipo juu kileleni ipo peke yake ukipita barabarani kwa gari unaiona vzr tu...yule jamaa sijui alifikiria nini kujenga kule juu
dodoma wilqya ya mpwapwa ina vijiji huko kibakwe ndan huko""" yan unaweza his hawa walifikqje huku maji shida na ukame wa ajabu sana,, idodomya
Hiyo kwa wenzetu ni channel ya vichekesho...tuna uhaba wa chakula tunaagiza Mchele nje kisha tunawahamasisha watu wa nje Walete Malori kuja kusomba chakula kwetuTanzania
[emoji23][emoji23] Mbulu hatari sana milima ,mabonde na baridi kaliMbulu,unapanda milima karibu saa nzima,ukifika kule sasa,baridi lake sio la nchi hii,mpaka unajiuliza hawa watu huku walifikafikaje...
Vijiji vya Mtwara kusema kweli sio choka mbaya.. Mambo ya Ushirika yanawasaidia sana na zao la korosho liko vizuri linawapatia kipato na exposure.MTWARA ipi?? Mtwara inaizidi mikoa mingi sana Tanzania kwa Maendeleo, Hata vijiji vyake huwezi linganisha karibu na Robo 3 ya mikoa ya Tanzania hii. Unalinganisha Mtwara na mikoa ipi??
wavuta bange huko, vichwa viishanasa kwenye topeMkoa wa Mara wilaya ya Butiama
Umenikumbusha, Korogwe kuna sehemu inaitwa Bungu kama sijakosea. Miaka ya nyuma kidogo 2004 au 2005. Kufika huko kuna kibasi kimoja tu. Na safari nzima kuna vipande vya kutosha mnavyotembea kwa mguu. Halafu kulikua na ushirikina wa kutosha. Kama unaishi kule na wewe si mwenyeji wa kule, siku ukitaka kusafiri kwenda nyumbani kwenu kusalimia au kama unahama hautakiwi kuaga unasepa kimya kimya tu. Yaani raia wastukie upo kwenye gari na mizigo yako. Sasa wewe jifanye ina aga hutoboi Korogwe mjini. Pia mvua ikinyesha nayo ni uchawi tu, kunateleza hata kuku hatembei barabarani na usafiri unakosekana piaKuna Kijiji kinaitwa KWAMASIMBA Kiko wilaya ya Korogwe mjini. Aiseee pale gari zinafika cruiser mkonga tu Tena kwa gear namba moja ikisaidiwa na four wheel LOW.
Wewe utakua unaongelea Bungu ya Rufiji.Umenikumbusha, Korogwe kuna sehemu inaitwa Bungu kama sijakosea. Miaka ya nyuma kidogo 2004 au 2005. Kufika huko kuna kibasi kimoja tu. Na safari nzima kuna vipande vya kutosha mnavyotembea kwa mguu. Halafu kulikua na ushirikina wa kutosha. Kama unaishi kule na wewe si mwenyeji wa kule, siku ukitaka kusafiri kwenda nyumbani kwenu kusalimia au kama unahama hautakiwi kuaga unasepa kimya kimya tu. Yaani raia wastukie upo kwenye gari na mizigo yako. Sasa wewe jifanye ina aga hutoboi Korogwe mjini. Pia mvua ikinyesha nayo ni uchawi tu, kunateleza hata kuku hatembei barabarani na usafiri unakosekana pia
Duh!Mwanza miambani wananoishi watia huruma sana japo wao wanaona wamepata viwanja city centre.
Huwa najiuliza walishindwaje kuweka makazi Usagara, Misungwi na Magu badala ya kubanana kwenye mawe kama mijusi ambako kupanda ni shida na inaweza kuchukulia lisaa kwenda sehemu unayoiona kwa mbele tu hapo.
View attachment 2378247
- Na wanadai kwenda makwao wanatumia zaidi ya masaa 3 kwa mguu; na mtu akitumia gari anachelewa kufika kuliko aliyepita ya mguu. 😂😂😂😂Katikati ya mpanda na kigoma kuna pori wanauza chakula
Huko nyokooooo nilitaka shangaaa Uzi upite Bila huku kutajwa vijiji vya uvinza vigumubaana kalya,LUBALISI huko mtandao wa simu kisanga mpakala milimaniKalya Uvinza Kigoma.
Kijiji cha kilosa Mpepo wilaya ya malinyi...Kila siku kule ni kupambana na Tembo na Nyati...Masika hakuendeki nilikuwa kule 2020 sijajua saivi pakojeHabari za muda huu wana JF,
Nchi yetu ni kubwa na Ina miji na vijiji vingi lakini Kuna baadhi ya maeneo unaweza ukahisi sio sehemu ya nchi yetu mpaka ukajiuliza maswali kuwa Hawa watu waishio hapa walivutiwa na Nini mpaka wakaweka makazi ya kudumu maeneo haya
Mfano, Mimi niliwahi kutembelea Kijiji cha Baranga kata ya Sirorisimba kupitia Kyagata. Nilistajabu na kujiuliza Hawa watu huku wanaishije?
Ukame ndio kwao, maji shida, Hali ya hewa mbovu, jua kali ndio kwao, vurugu Sasa ndio chimbuko lake. Siku moja tulikuwa na mechi ya kirafiki na timu ya Kijiji jirani ile tupo kwenye gari tukashangaa tunaanza kurushiwa mawe barabarani.
Kwa kuwa sisi tulikuwa wageni tuliogopa sana lakini wenyeji wakatuambia msiogope hao wote tutakutana kwenye mnada. Siku nyingine tulikuwa Mnadani Sirorisimba siku hiyo kulikuwa na mgogoro wa mpaka wa shamba kati ya ukoo na ukoo huku polisi wakiwa na mitutu ya bunduki lakini ilivyo ajabu watu wa kule nilishudia wakibebana na kuhamasishana wabebe mishale waende wakaanzishe vurugu.
Wewe ulipita wapi na ulistaajabu nini?
Saivi kuna barabara kabisa inaenda Njombe....Kilimo cha mpunga pako poa tukijiji cha tanganyika,kata ya masagati tarafa mlimba wilaya ya kilombero .nikipangiwa kule kituo cha kazi mwaka 1999 nikarudi kumshukuru DED kwa kazi.nikarudi zang Dar .aise Kule watu alikuwa wanaishi kama mazombie hakuna huduma ylza jamii hata moja hadi uende mlimba 150km Dahhh ila nasikia mambo siku hizi yamebadilika Luna kula kitu japo afadhari.
Kuna mtu alitudanganya ni kama km 6 kutoka ile kona la Kolandoto .Kuna mbuzi wanachoma barabarani kama una roho ya kinyaa huli.Mi nilibonda ,ntarudi tena huko Mhunzee.Weee sasa hivi kuna maji kuna hospital,kuna halmashauri
Munze moja hiyoo😀😀😀Kishapu shinyanga
Dumu la maji lita 20 niliuziwa kwa 500 alaf maji yenyewe siyo masafi yamechotwa tu mwenye madimbwi ambayo mifugo pia inakunywa maji hapohapoMunze moja hiyoo😀😀😀