Hiyo kijiji kinaitwaje maana kitalangusu,bankero,ata,matangalimo,mitiryangwi huko hakunaga sIgera za dukani wao walisha zoeya kusokota tumbaku kwenye mabuwa ya mahindi halafu wanafuta fegi aisee haya maishaKuna sehemu nilifika Katesh, Arusha huko, zamani sana. Nilishangaa kukuta wavuta sigara hata magazeti ya kusokotea sigara hawana bali wanatumia mabua ya mahindi. Nilikuwa na gazeti wakafurahi kweli kweli nilipowapa.
Kupitia hii mada ataanzisha uzi πππ
Sikumbuki tena jina. Ni zamani sana.Hiyo kijiji kinaitwaje maana kitalangusu,bankero,ata,matangalimo,mitiryangwi huko hakunaga sIgera za dukani wao walisha zoeya kusokota tumbaku kwenye mabuwa ya mahindi halafu wanafuta fegi aisee haya maisha
ππ Kule chisenyi kuna pisi yangu kali sanaMpwapwa ina vijiji vingi vya ajabu ajabu... kuna Kijiji kinaitwa MWENZERE .... hatari
Tabora moja hiyoo.Ni wapi mkuu au mkoa gani?
Ulivyo sema kutumia majani ya mahindi kama karatasi ya sigara nimekumbuka mbali sana sanaSikumbuki tena jina. Ni zamani sana.
AsanteTabora moja hiyoo.
Chaajabu wanafunzi wa sekondari kutoka kule jkt wanaenda kusoma shule mwana K au mazaeVijiji vyote vya mpwapwa vya milimani hakufai japo kuna unafuu ukilinganisha na tambarare. Mpwapwa mwisho ilitakiwa iwe Kibakwe.
Lushoto siyo kubaya ila njia ya kufika huko ndiyo mtihani. Swali lililokuwa likizunguka kichwani ni namna gani mtu wa kwanza kufika kule alifikaje na milima ile.Habari za muda huu wanajf.
Nchi yetu ni kubwa na Ina miji na vijiji vingi lakini Kuna baadhi ya maeneo unaweza ukahisi sio sehemu ya nchi yetu mpaka ukajiuliza maswali kuwa Hawa watu waishio hapa walivutiwa na Nini mpaka wakaweka makazi ya kudumu maeneo haya
Mfano, Mimi niliwahi kutembelea Kijiji Cha Baranga kata ya sirorisimba kupitia Kyagata. Nilistajabu na kujiuliza Hawa watu huku wanaishije?
Ukame ndo kwao, maji shida, Hali ya hewa mbovu , jua kali ndo kwao, vurugu Sasa ndo chimbuko lake. Siku moja tulikuwa na mechi ya kirafikina timu ya Kijiji jirani ile tupo kwenye gari tukashangaa tunaanza kurushiwa mawe barabarani.
Kwa kuwa sisi tulikuwa wageni tuliogopa Sana lakini wenyeji wakatuambia msiogope hao wote tutakutana kwenye mnada. Siku nyingine tulikuwa Mnadani Sirorisimba siku hiyo kulikuwa namgogoro wa mpaka wa shamba Kati ya ukoo na uko huku polisi wakiwa na mitutu ya bunduki lakini ilivyo ajabu watu wa kule nilishudia wakibebana na kuhamasishana wabebe mishale waende wakaanzishe vurugu.
Wewe ulipita wapi na ulistaajabu Nini?
Hahaaaa, ni nimetoka huko toka 2014. Huko sio mchezo jamaa nasikia walikuwa wawindaji ndio maana waliishi huko. Niliendaga huko kuwinda Wanyamapori na kuchana mbao za Miminga na Mikora. Operation tokomeza ilinipitia ndio nikakimbia. Maisha hayaBila shaka tulikuwa wote kwenye mkesha wa Mwenge Kijiji cha Ilunde, kule ni noma
π³Ndo wangeni_anus sasaUngepanda juu ya mtiππ
Nimecheka kishenzi kwa sababu niliwahi fika huko nikitokea Ibihwa kwa miguu so nakumbuka mbali sanaπ€£π€£π π π πKijiji cha Chimendeli, wilaya ya Bahi Mkoa WA Dodoma.
Sijui kule watu Wanaishi vipi. Unaweza Kudhani uko Somalia au Afghanistan.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ah mkuu ndongosi, noma sana siku ya kwanza nafika kuitafuta nambendo niliulizwa "baba unamke?! Huko nambendo kuna wanawake wazuri?!"πππ ..nimefurahi kujua unaifahamu ile njiaHapo ongeza na ndongosi Napo kwikwi labda wakat huu pamebadilika
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Maeneo yale si shida kwa jeshi labda miundombinu ya barabara tu na makazi ya raia ,taliri ndio Inashare Geti na jkt si ndio kila chuo? Vianzi iko direction ipi kwenye ule mji?ni ndani ya eneo la jeshi? Sijaona jina hili Eneo la ramaniKule ni shida tupu kuanzia vianzi taliri mpwapwa kwenda mbele hadi mpwapwa jkt mbele huko kuna shida tupu
Tanganyika nako sio Mchezo? Kuna vijiji huko Tanganyika tukienda kupora ardhi yaani maarshi yapo ya kumwaga. Tuliendaga kijiji cha Kapanga Tarafa ya Mwese kupora kujigawia ardhi miaka hiyo. Tuliingia kitongoji kimoja, Ng'ombe za wasukuma zikaja na kulizunguka Gari ilikuwa Land cruiser nyeupe na kuanza kuilamba. Tuliendaga Mishamo kwenye kambi za wakimbizi, ukipita Wamama wanakuja kuchukua ule mchanga ambapo tairi la gari limepita eti ni dawa kwa mtoto aliyechelewa kutembea.Tanganyika ndio hatari zaidi
Hata KusiniKilimanjaro so far sijaona maeneo yake yakitajwa.