Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

Barabara ya kwenda Kilimanjaro nahisi ni wilaya ya Same Kuna nyumba moja nzuri tu imejengwa kwenye mlima kabisa ipo juu kileleni ipo peke yake ukipita barabarani kwa gari unaiona vzr tu...yule jamaa sijui alifikiria nini kujenga kule juu
Ukipata time naomba utuwekee picha, kama unazo.
 
Habari za muda huu wana JF,

Nchi yetu ni kubwa na Ina miji na vijiji vingi lakini Kuna baadhi ya maeneo unaweza ukahisi sio sehemu ya nchi yetu mpaka ukajiuliza maswali kuwa Hawa watu waishio hapa walivutiwa na Nini mpaka wakaweka makazi ya kudumu maeneo haya.

Mfano, Mimi niliwahi kutembelea Kijiji cha Baranga kata ya Sirorisimba kupitia Kyagata. Nilistajabu na kujiuliza Hawa watu huku wanaishije?

Ukame ndio kwao, maji shida, Hali ya hewa mbovu, jua kali ndio kwao, vurugu Sasa ndio chimbuko lake. Siku moja tulikuwa na mechi ya kirafiki na timu ya Kijiji jirani ile tupo kwenye gari tukashangaa tunaanza kurushiwa mawe barabarani.

Kwa kuwa sisi tulikuwa wageni tuliogopa sana lakini wenyeji wakatuambia msiogope hao wote tutakutana kwenye mnada. Siku nyingine tulikuwa Mnadani Sirorisimba siku hiyo kulikuwa na mgogoro wa mpaka wa shamba kati ya ukoo na ukoo huku polisi wakiwa na mitutu ya bunduki lakini ilivyo ajabu watu wa kule nilishudia wakibebana na kuhamasishana wabebe mishale waende wakaanzishe vurugu.

Wewe ulipita wapi na ulistaajabu nini?
WANYANCHALI vs WANYANCHOKA.
 
Kijiji kingine ni mpyagula, kwa mbele kuna wasukuma wengi miaka ile wali na kambale mkubwa sana ilikua ni mia tano tu, mwenyeji wangu aliponiona kama nina mawazo akajadili na mke wake wakamwita binti mdogo wa mke wake aje anifariji chumbani na binti alikua mwanafunzi nilishangaa sana sitosahau hiko kisa
Haa Tanzania Ina Mambo
 
Habari za muda huu wana JF,

Nchi yetu ni kubwa na Ina miji na vijiji vingi lakini Kuna baadhi ya maeneo unaweza ukahisi sio sehemu ya nchi yetu mpaka ukajiuliza maswali kuwa Hawa watu waishio hapa walivutiwa na Nini mpaka wakaweka makazi ya kudumu maeneo haya.

Mfano, Mimi niliwahi kutembelea Kijiji cha Baranga kata ya Sirorisimba kupitia Kyagata. Nilistajabu na kujiuliza Hawa watu huku wanaishije?

Ukame ndio kwao, maji shida, Hali ya hewa mbovu, jua kali ndio kwao, vurugu Sasa ndio chimbuko lake. Siku moja tulikuwa na mechi ya kirafiki na timu ya Kijiji jirani ile tupo kwenye gari tukashangaa tunaanza kurushiwa mawe barabarani.

Kwa kuwa sisi tulikuwa wageni tuliogopa sana lakini wenyeji wakatuambia msiogope hao wote tutakutana kwenye mnada. Siku nyingine tulikuwa Mnadani Sirorisimba siku hiyo kulikuwa na mgogoro wa mpaka wa shamba kati ya ukoo na ukoo huku polisi wakiwa na mitutu ya bunduki lakini ilivyo ajabu watu wa kule nilishudia wakibebana na kuhamasishana wabebe mishale waende wakaanzishe vurugu.

Wewe ulipita wapi na ulistaajabu nini?
Miaka ya Tisini,,,Ngudulugulu huko Ngudu😂😂😂😂 mengine busara inaniambia ninyamaze
 
Habari za muda huu wana JF,

Nchi yetu ni kubwa na Ina miji na vijiji vingi lakini Kuna baadhi ya maeneo unaweza ukahisi sio sehemu ya nchi yetu mpaka ukajiuliza maswali kuwa Hawa watu waishio hapa walivutiwa na Nini mpaka wakaweka makazi ya kudumu maeneo haya.

Mfano, Mimi niliwahi kutembelea Kijiji cha Baranga kata ya Sirorisimba kupitia Kyagata. Nilistajabu na kujiuliza Hawa watu huku wanaishije?

Ukame ndio kwao, maji shida, Hali ya hewa mbovu, jua kali ndio kwao, vurugu Sasa ndio chimbuko lake. Siku moja tulikuwa na mechi ya kirafiki na timu ya Kijiji jirani ile tupo kwenye gari tukashangaa tunaanza kurushiwa mawe barabarani.

Kwa kuwa sisi tulikuwa wageni tuliogopa sana lakini wenyeji wakatuambia msiogope hao wote tutakutana kwenye mnada. Siku nyingine tulikuwa Mnadani Sirorisimba siku hiyo kulikuwa na mgogoro wa mpaka wa shamba kati ya ukoo na ukoo huku polisi wakiwa na mitutu ya bunduki lakini ilivyo ajabu watu wa kule nilishudia wakibebana na kuhamasishana wabebe mishale waende wakaanzishe vurugu.

Wewe ulipita wapi na ulistaajabu nini?
Kwangu ni Bukoba na Kigoma aisee.
 
Milo ipo Chalinze hapo karbu na ruvu unaingia kulia km20, kulikuwa na kambi ya wapigania uhuru wa South Africa miaka ya 80 adi 90 kwa sasa imegeuzwa kuwa zahanati ya kijiji.

Sio mbali sana ila barabara ni mbovu sana na mvua ikinyesha hakupitiki, kilichonishangaza kipind nafany mradi flani wa afya ni maisha ya kule kuna kiwango kikubwa cha maambukizi ya HIV, unaweza pima watu 10 ukakuta 6 wanao teyari au familia nzima wameathirika.
100%
Unaweza kushangaa
 
Ngoja nikumbuke vizuri jina la kijiji flani niliwahi kufika mwaka jana yaani kule watu bado wanajua rais ni Nyerere!
Kule ukisikia mtu anaongea kiswahili ujue ni mgeni hapo kijijini na wenyeji wakiona gari wanakimbia wanajua ni askari wanakuja kukamata wauza gongo na bange!
Hakuna barabara, hakuna umeme, mtandao wa simu haupo yaani ukifika kule ukiwa na smartphone watu wanaishangaa wanakuomba uwawekee movies watazame!
Maisha ni magumu sana hakuna maduka wala starehe yoyote zaidi ya kilabu cha pombe mwitu hasa gongo, ukame na njaa ndo mahala pake
Mademu wa kule wote wachafu wachafu akikatiza mbele yako unasikia harufu ya mnyama!
.mbaya zaidi kuna shule moja ya msingi waalimu wa hapo nao ni wapolipoli yaani wamefanana kabisa na mazingira ya huko mpaka wanaongea kiruga...kifupi niliondoka sijatafuna mbususu kabisa.
🤣🤣🤣
 
Huko katikati ukipita hydomu ukiwa unaenda Arusha Kuna vijiji ni vyaajabu aisee Bado kule watu wanatembea maziwa njenje wanachofunika wao ni pap*ch* tu, nilishangaa sana, mtu anabeba kuni mgongoni, maji anabeba mgongoni mpaka nikajiuliza raisi wetu huyu huyu aliepo daslam ndo anaongoza na Hawa watu kweli?
 
Back
Top Bottom