Bata Boy Official
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 259
- 309
Asante kwa taarifa ila unamaanisha nini kusema inategemea na activities?Eastliegh , na popote pale hadi south b estate but inategemea na activities
Nairobi kuna sehemu pia inaitwa hivo?Kariakoo
[emoji3][emoji3][emoji3] mpaka nimeenda kwenye profile yko aisee kweli we sanakiNdo umeona upeleke machuma ulete yako huko???
Mkuu mbona likuwa haina ulazima wa wewe kujibuNdo umeona upeleke machuma ulete yako huko???
Achana naye huyo[emoji3][emoji3][emoji3] mpaka nimeenda kwenye profile yko aisee kweli we sanaki
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ya Nairobi ni KariakorNairobi kuna sehemu pia inaitwa hivo?
Wanapoishi kwa wingi si rahisi kupajua ila najua sehemu ambayo wengi wapo na wanafanya shughuli zao, hasa za kuuza mitumba kwenye soko maarufu la mitumba la Gikomba mjini Nairobi ila shida karibu asilimia kubwa huwezi kuwajua kama Watanzania kwani ni Wachaga wanaoongea lugha ya Kikuyu utadhani wamezaliwa Nanyuki.Habari wakuu?
Naomba kujuzwa kuwa ni sehemu ipi Nairobi Kenya wanakoishi/wanakofanya biashara Watanzania wengi?
Kama ukitaja na majina ya labda maduka/hoteli/baa/Club zinazomilikiwa na watanzania itasaidia pia.
Natanguliza shukuraniView attachment 2257211
Ukiona ivo amanikubali!!!!! ndo maana nasema unaasili ya kiuchawi!!.....hutarudiiii!Achana naye huyo
Sikikujibu weye mie nimeijibu JF ambayo mie ni mwana chama hai! halali...na sijavunja sheria!! ...ukiona vepe achia ngazi kuingia ingia humu JF!!......... hizi nazo ni dalili kubwa,.....Mkuu mbona likuwa haina ulazima wa wewe kujibu
OkayUkiona ivo amanikubali!!!!! ndo maana nasema unaasili ya kiuchawi!!.....hutarudiiii!
OkayAccra Road
OkaySikikujibu weye mie nimeijibu JF ambayo mie ni mwana chama hai! halali...na sijavunja sheria!! ...ukiona vepe achia ngazi kuingia ingia humu JF!!......... hizi nazo ni dalili kubwa,.....