David Goliath
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 949
- 1,878
Nenda soko la mitumba GIKOMBA hapo wakina Mangi wamejaa utazani RomboHabari wakuu?
Naomba kujuzwa kuwa ni sehemu ipi Nairobi Kenya wanakoishi/wanakofanya biashara Watanzania wengi?
Kama ukitaja na majina ya labda maduka/hoteli/baa/Club zinazomilikiwa na watanzania itasaidia pia.
Natanguliza shukuraniView attachment 2257211
Jf huwa kuna wachawi,hapo anataka kumtia hasira mwenzie amfikirie siku nzima ndo iwe furaha yakeMkuu mbona likuwa haina ulazima wa wewe kujibu
Mkuu upo Sahihi unajua wabongo wengi walitawanyika,maeneo kama majengo ambapo ni karibu na Gikomba walikuwepo pale sababu ni karibu na shughuli zao..Wanapoishi kwa wingi si rahisi kupajua ila najua sehemu ambayo wengi wapo na wanafanya shughuli zao, hasa za kuuza mitumba kwenye soko maarufu la mitumba la Gikomba mjini Nairobi ila shida karibu asilimia kubwa huwezi kuwajua kama Watanzania kwani ni Wachaga wanaoongea lugha ya Kikuyu utadhani wamezaliwa Nanyuki.
Asante ndugu kwa taarifaKericho na Kakamega.
AsanteNgong road na karen
Ndiyo Ipo...Nairobi kuna sehemu pia inaitwa hivo?
Kariakoo
Eastleigh wamejaa wasomali hukoEastliegh , na popote pale hadi south b estate but inategemea na activities
Yeah,tena ni CBD kabisa kama ilivyo huku dar kwetuNairobi kuna sehemu pia inaitwa hivo?
Ni kweli Gikomba kuna wachaga wengi sana ila wengi wameshalowea huko, ila ukifanikiwa kumpata mtanzania mmoja anaweza kukutambulisha katika vikundi vyao huko utaweza kufahamihana zaidi.Wanapoishi kwa wingi si rahisi kupajua ila najua sehemu ambayo wengi wapo na wanafanya shughuli zao, hasa za kuuza mitumba kwenye soko maarufu la mitumba la Gikomba mjini Nairobi ila shida karibu asilimia kubwa huwezi kuwajua kama Watanzania kwani ni Wachaga wanaoongea lugha ya Kikuyu utadhani wamezaliwa Nanyuki.
Asante mkuu kwa maelezo mazuriMkuu upo Sahihi unajua wabongo wengi walitawanyika,maeneo kama majengo ambapo ni karibu na Gikomba walikuwepo pale sababu ni karibu na shughuli zao..
Wengine walikuwa wanaishi pale California ni karibu na Majengo pameungana na Eastleigh kuna pilika nyingi za kibiashara pale Eastleigh.
Pale Eastleigh kuna wasomali wengi sana na wengine walitokea kwetu huku Tanzania sasa mpaka ufahamiane nao ndiyo utawajua.
Katikati ya mji wabongo wapo maeneo ya Accra Road kwenye Coast Bus zinapo park Bus za Malindi na Mombasa hapo utawakuta wabongo toka sehem za Tanga.