EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,085
- Thread starter
-
- #21
Ahsante sana kwa michango mizuri na ya kujenga namna hii. Uzi wetu unazidi kumeremetaAll realistic markets operates under imperfect competition, this is due to the fact that perfect competition is just a theoretical kind of a market.
So kwa swali lako, sekta zote nchini hazina perfect competition (kapitie features za perfect competitive market)
Ahsante sana kwa michango mizuri na ya kujenga namna hii. Uzi wetu unazidi kumeremetaWauza soda, Coca, mirinda n.k
Ahsante sana kwa michango mizuri na ya kujenga namna hii. Uzi wetu unazidi kumeremetaSector zote zina perfect competition, tofauti inakuja katika market controls
Market prices kwa baadhi ya bidhaa zinakua controlled na Wauzaji wenyewe mfano Bei ya saruji mwishoni mwa mwaka 2020, Bei ya Sukari mwaka 2017 nadhani yan muuzaji ana bei yake ambayo kwa hali yoyote ile Mteja atakubaliana nayo tu
Kingine ni Market prices ambazo zinakua controlled na forces of demand and supply kwa mfano competition kwenye soko la vinywaji inapelekea constant supply ambapo bei ya vinywaji na yenyew inakua constant au inakua na tofauti ndogo sana sokoni
Ndo maana bidhaa inayozalishwa na Kampuni mbili tofauti, bei yake inakua reasonable sana tofauti na bidhaa inayozalishwa na kampuni moja (monopoly)
🤣 🤣 🤣 🤣 uzi unazidi kufanyaje??Ahsante sana kwa michango mizuri na ya kujenga namna hii. Uzi wetu unazidi kumelelemeta
Mkuu nadhani umeelewa 😂😂😂😂😂🤣 🤣 🤣 🤣 uzi unazidi kufanyaje??
Wewe tatizo lako ni nini akitumia neno kumeleleta badala ya kumeremeta?Kumeleleta ndiyo nini sasa?
Kiswahili jamani, may be nitumie Twinkling.Kumeleleta ndiyo nini sasa?
inabidi Jane uanze kunipiga twisheni ya kiswahili watsap, nipatie namba zako basi.Kumeleleta ndiyo nini sasa?
bei kupanda au kushuka doesn’t mean wanaambiana, it depends on demand and supply of a particular product in the market, Watu, makampuni binafsi yanayoongeza au kupunguza bei ya bidhaa hovyo ndo wale wanaosakwa na serikali kwa sababu wanasababisha kuyumba kwa uchumi wa nchi kwa namba fulani ndo maan wengi hufuata bei elekezi zinazopangwa na mamlaka... labda wauza karanga na ndizi mbivu mitaani japo nao kama wana-collude flani hivi maana bei zao ni sawa as if wameambiana. Ni kama mabucha, bei ikipanda wote wanapandisha wanakuwa na bei moja mtaani.
Otherwise, biashara nyingine zote hususan zinazoagizwa nje hata kama haionekani kwa uwazi monopoly ipo; usually unakuta importers (authorized) ni wachache au mmoja anaagiza in bulk na kuwauzia whole sellers wa ndani.
Hawa ma-importers wakubwa wanacheza na bei wanavyotaka na ndio wanaoamua bei ya soko iweje. Rejea mifano ya sukari, mafuta ya kula, mafuta ya petroli, na hata saruji.
Sekta zote hizi zina face perfect competitionSecta ya afya na elimu
Tanesco ipo siku yake, Natamani sana wangekua wanaiga kinachofanywa na HTT kwenye sekta ya mawasiliano Tanzania, they’re the best na wako very strict kuhakikisha customer wao wanakua well satisfied na hudumaNachukia sana TANESCO kumonopolise soko ,ilitakiwa kuwe na mbadala wa TANESCO ndio maana hawa attend fault kwa wakati ,hawatatui matatizo ya wateja kwa wakati.
Wadau tukomae ili tupate mbadala wa TANESCO ,zaidi ya miaka 60 ya uhuru lakini DSM sehemu kubwa tu hakuna UMEME na huo umeme uliowekwa VIJIJINI ni wananchi ndio wamechanga hela kwa kupittia REA na sio serikali....Tungepata Muwekezaji mwingine apewe kazi ya kusambaza umeme sehemu ambazo haujafika ingekuwa safi sana!!
Tanesco hawaweki huduma sehemu ambayo bado haina makazi ya watu wengi,hapo ndipo kosa linalofanyika ,Tanesco inabidi muweke miundombinu yenu sehemu zote zenye njia kuu au sehemu kwenye mipango miji ni makazi ya watu kwahiyo ikitokea mtu anataka umeme inakuwa rahisi kumuunganishia.
Tanesco ipo siku yake, Natamani sana wangekua wanaiga kinachofanywa na HTT kwenye sekta ya mawasiliano Tanzania, they’re the best na wako very strict kuhakikisha customer wao wanakua well satisfied na huduma
Ni mara chache sana kutakua na malalamiko.