Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Tusile kiporo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BarikiwaSame to me...haileti maana pia
Kwanini ulikimbia bos?Yule mzee aliniomba majina yangu na ya mama yangu.
Ilikuwa hivi kuna mjinga alipita na hela zangu nyingi sasa nikiwa na hasira mara pap mitandaoni nikakutana na taarifa zinazomsifia mzee mmoja kuwa ni mganga afu uzuri wake haombi pesa ila anakufanyia kazi ukipata matokeo wewe ndo utajua umlipe kiasi gani, basi bana bila kufikiria mara mbili nikachukua simu nikampigia lakini hakupokea…
Ile jioni akanipigia na kabla sijamwambia kitu akasema kijana mchana nilikuwa na kazi sana haya tuongee sasa ila unaonekana una mazito sana na upo mbali na mimi nilipo nakuomba upange siku uje tuongee na wakubwa(kuna neno aliliongea silikumbuki) nikamwambia kama itawezekana tulimalize kwanza kwa njia ya simu kisha nikiwa naelekea mkoa fulani nitapita hapo mzee wangu. Mzee nikamweleza shida yangu na akasema hiyo kazi ndogo sana. Kabla ya yote akaniomba majina yangu na ya mama yangu. Aiseeee nilitetemeka nikamwambia sawa nakutumia. Baada ya kukata simu niliifuta ile namba na kuanza kujiona jinga kwamba ndo ushirikina unaanzaga hivi na ukizingatia sijawahi hata kuusogelea mlango wa mganga.
Nipe connection ya mganga huyo mm Niko Usagara nimepigika vibaya Sana nikajilipue.Ati mimi na yeye pamoja na viajuza vyenzake sita tukakae kwenye makutano ya barabara kuu hapa Misungwi tena mchana kweupe huku magari yanapita kwa kisingizio kwamba hakuna atakayetuona; na magari yatakuwa yanatupita tu bila kutukanyaga nikasema haloooo!
Msione watu wa huku machimboni wana hela wanasukuma Fortuner mpya zero kilometer mkafikiri mchezo. Watu wamepitia mengi sana japo hawasemi. Ndiyo maana hata kufilisika na kufa kwao ni kugusa tu hasa wakikosea masharti.
Tangu siku hiyo niliamua kujikita kwenye kilimo cha nyanya na dengu. Mambo ya kwenda kukalishana uchi njia panda tena barabara kuu huku malori yakipita full speed tena mchana kweupe hapana aisee! [emoji1]
Nilijiuliza kwanini atake ajue majina yangu na mama yangu. Je nini sababu nyuma yake: Nilijiuliza nini kitafuata; haya sasa jambo langu lakamilika ila lazima hiki ninachokipanda nitakivuna pia. Je nitavuna nini? Always dark side huwa na mwisho wa uharibifu. That’s allKwanini ulikimbia bos?
Mshukuru Mungu mkuu si kwa ujanja wakoNilimsindikiza mtu ila yule dada mganga aling'ang'ania kuwa mimi nina matatizo makubwa, nisipoaguliwa sitoboi siku 3 nitakufa maana mizimu inanitaka. Nilimpuuzia mbali.
Mwaka takriban wa 10 sasa na nipo hai.
Kile kiajuza kilishakata moto mkuu. Kilikuwa kichawi hatari. Kililetwa kule machimboni Geita mwaka 2021 kikaanza kufanya vimbwanga mchana kweupe kwenye duara (mgodi wa mchimbaji mdogo) ya dogo mmoja hivi watu wanakazomea. Kesho yake tu duara ikawaka dogo akapiga zaidi ya bilioni 4 watu wakaanza bibi njoo na kwenye duara yangu kakawaambia mwenye shida anifuate home kijijini Bubale. Unaambiwa mavieite kama yote yalipiga moto hatari kwenda kupanga foleni kijijini. Machimboni aisee kuna mambo ya ajabu sana!Nipe connection ya mganga huyo mm Niko Usagara nimepigika vibaya Sana nikajilipue.
Aisee hatsriiiKile kiajuza kilishakata moto mkuu. Kilikuwa kichawi hatari. Kililetwa kule machimboni Geita mwaka 2021 kikaanza kufanya vimbwanga mchana kweupe kwenye duara (mgodi wa mchimbaji mdogo) ya dogo mmoja hivi watu wanakazomea. Kesho yake tu duara ikawaka dogo akapiga zaidi ya bilioni 4 watu wakaanza bibi njoo na kwenye duara yangu kakawaambia mwenye shida anifuate home kijijini Bubale. Unaambiwa mavieite kama yote yalipiga moto hatari kwenda kupanga foleni kijijini. Machimboni aisee kuna mambo ya ajabu sana!
Mkuu, unaamka umepigwa chale za kutosha, unakwenda hospitali unapewa chanjo ya tetenasi. Mara paaap umenyolewa idara zote. wahenga tulipitia mambo.Same to me...haileti maana pia